Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Mliopo mnatosha!!!!!
hahahahhaa...umemaliza mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliopo mnatosha!!!!!
1. English course
2. Makenika
3. Seremala
4.cherehani
ina maana dogo huko darasani wewe ulikuwa husikilizi kabisa
Nngekushauri vizuri kama ungeweka hayo matokeo.Ila Kwa kifupi division four ya 32 katika kipindi hiki cha BRN unahitaji mbereko ya chuma.Tatizo kipindi mko shule wewe uljiona bwana mkubwa,bingwa wa digitali na kukesha Facebook.
Watoto wana More Typing Speed kuliko Writing Speed
.
bcz = because
k = ok
.
Very Poor
Kawambwa muanze kutoa mtihani kwenye social network hizi watoto huwa na speed sana, huwezi kuta co = sio kwenye paper ila humu ndo wanajifanya wana speed kweli ya uchapaji
.
Nngekushauri vizuri kama ungeweka hayo matokeo.Ila Kwa kifupi division four ya 32 katika kipindi hiki cha BRN unahitaji mbereko ya chuma.Tatizo kipindi mko shule wewe uljiona bwana mkubwa,bingwa wa digitali na kukesha Facebook.