Matata25
Member
- Feb 5, 2012
- 60
- 18
Wadau mimi ni kijana nilikimbia shule nikiwa form one but now naitaj kurudi school november 13th ila nitasoma QT na ndoto yangu ni kuwa Engineer wa electronics zote i mean computer na vifaa vinginevyo vinavyoendana na technology TV's phones consoles etc...
Wasomi ni wengi humu Jamiiforums please naomba ushauri nifuatilie masomo gani, ili nipate njia rahisi ya kutimiza ndoto yangu.
Natanguliza shukrani na mchango wenu ni muhimu kwangu
Wasomi ni wengi humu Jamiiforums please naomba ushauri nifuatilie masomo gani, ili nipate njia rahisi ya kutimiza ndoto yangu.
Natanguliza shukrani na mchango wenu ni muhimu kwangu