Nissan and NASA join forces to build self-driving cars

Nissan and NASA join forces to build self-driving cars

Hamna kipya anachokileta hapa zaidi ya kukesha kwenye google mimi sipo hapa kumbabaikia mtu akileta za kuleta namchana tu

kwa wenzako ni vipya!! kwa wenzako ni vipya, au kama unajua lete tule wote hapa jukwaan tz ni developing country kitechnologia, na kiuchumi asilimia kubwa ya tanzania wako nyuma sana.. majukwaa kama haya yanasaidia sana watu especialy third part apps user! ambao tunatumia masimu makubwa lakin tumebase tu kwenye isnstagram, twitter na fb, na pornsites kubwa zinazotembelewa na watz tunaongoza, kama wewe ujiskii kushare na sis watoto wa maskin ujuz uliyonao ni bora usicomments kaa kimya mana inaonesha ni mchoyo, waachie wakina mwl. c, c9, chief, na wengne wengi Anyway scroll, back to the topic.
 
Hamna kipya anachokileta hapa zaidi ya kukesha kwenye google mimi sipo hapa kumbabaikia mtu akileta za kuleta namchana tu

Unamchana kwa facts au kuhoroja tu?? Sio lazima ucoment kila kitu. Vingine vipo juu ya uwezo wako. Fanya ustaarabu usome na upite tu.
 
kuwa kampuni kubwa si hoja, apple ana hela kushinda serikali ya marekani lakini hilo halimfanyi kuwa anajua kila kitu.

Duh! Wewe mshikaji unajua unachokiandika au unaandika Tu! Yaani Kampuni ya Apple ni tajiri kuliko Serikali ya Marekani? Unajua thamani ya Uchumi wa Marekani wewe Mshikaji? Uchumi wa Nigeria peke yake ni mkubwa kuliko hiyo Apple yako wewe unaoongelea mambo ya Marekani, au vi iphone vinakuzuzua? kama Apple ni kubwa hivyo Je, Exxon Mobil waseme nini?

 
Duh! Wewe mshikaji unajua unachokiandika au unaandika Tu! Yaani Kampuni ya Apple ni tajiri kuliko Serikali ya Marekani? Unajua thamani ya Uchumi wa Marekani wewe Mshikaji? Uchumi wa Nigeria peke yake ni mkubwa kuliko hiyo Apple yako wewe unaoongelea mambo ya Marekani, au vi iphone vinakuzuzua? kama Apple ni kubwa hivyo Je, Exxon Mobil waseme nini?

Mkuu achana na hili limbukeni kuna watu wanalinyenyekea hapa jukwaani hata Kama linadanganya
 
kwa wenzako ni vipya!! kwa wenzako ni vipya, au kama unajua lete tule wote hapa jukwaan tz ni developing country kitechnologia, na kiuchumi asilimia kubwa ya tanzania wako nyuma sana.. majukwaa kama haya yanasaidia sana watu especialy third part apps user! ambao tunatumia masimu makubwa lakin tumebase tu kwenye isnstagram, twitter na fb, na pornsites kubwa zinazotembelewa na watz tunaongoza, kama wewe ujiskii kushare na sis watoto wa maskin ujuz uliyonao ni bora usicomments kaa kimya mana inaonesha ni mchoyo, waachie wakina mwl. c, c9, chief, na wengne wengi Anyway scroll, back to the topic.
kunadanganya apple ni tajiri kuliko serikali ya America?
 
Duh! Wewe mshikaji unajua unachokiandika au unaandika Tu! Yaani Kampuni ya Apple ni tajiri kuliko Serikali ya Marekani? Unajua thamani ya Uchumi wa Marekani wewe Mshikaji? Uchumi wa Nigeria peke yake ni mkubwa kuliko hiyo Apple yako wewe unaoongelea mambo ya Marekani, au vi iphone vinakuzuzua? kama Apple ni kubwa hivyo Je, Exxon Mobil waseme nini?


sasa kwani ni kitu kigeni? apple ana hela (cash) kuliko serikali ya marekani na hayajaanza leo karibu mwaka wa nne huu. ukumbuke tunapozungumzia hela hatumaanishi value ya nchi ya marekani vs kampuni ya apple bali tunamaanisha kiasi cha hela ambacho wanacho mara nyingi kinakuwa bank,

apple sasa hivi ana cash usd 158b ambazo ni karibu trilioni 300 za kitanzania. bajeti yetu ya nchi ya miaka 10 iliopita haijafikia kiasi hiki.

mimi nakupa proof kwa kukupa link za website mbalimbali kuwa apple ana hela kushinda serikali ya marekani na link zote ni za mwaka 2014, lete na wewe link yako kuwa serikali ya marekani ina hela kuliko apple

Apple has THREE TIMES as much cash as US govt, TWICE the UK • The Register

Apple Inc., Microsoft Corp., Google Inc. cash stockpiles dwarf U.S. Treasury - Silicon Valley Business Journal

na pia hiki kitu si kigeni hapa jukwaani kuna topic kibao zinaelezea

https://www.jamiiforums.com/interna...a-haa-wana-pesa-kuliko-serikali-ya-obama.html
 
hili jukwaa ndilo jukwaa pekee ambalo lilikuwa limebaki watu walikuwa wanaweza bishana bila kutumia matusi naona sasa nalo limeanza anguka kama majukwaa mengine
 
sasa kwani ni kitu kigeni? apple ana hela (cash) kuliko serikali ya marekani na hayajaanza leo karibu mwaka wa nne huu. ukumbuke tunapozungumzia hela hatumaanishi value ya nchi ya marekani vs kampuni ya apple bali tunamaanisha kiasi cha hela ambacho wanacho mara nyingi kinakuwa bank,

apple sasa hivi ana cash usd 158b ambazo ni karibu trilioni 300 za kitanzania. bajeti yetu ya nchi ya miaka 10 iliopita haijafikia kiasi hiki.

mimi nakupa proof kwa kukupa link za website mbalimbali kuwa apple ana hela kushinda serikali ya marekani na link zote ni za mwaka 2014, lete na wewe link yako kuwa serikali ya marekani ina hela kuliko apple

Apple has THREE TIMES as much cash as US govt, TWICE the UK • The Register

Apple Inc., Microsoft Corp., Google Inc. cash stockpiles dwarf U.S. Treasury - Silicon Valley Business Journal

na pia hiki kitu si kigeni hapa jukwaani kuna topic kibao zinaelezea

https://www.jamiiforums.com/interna...a-haa-wana-pesa-kuliko-serikali-ya-obama.html

Acha kuandika mambo usiyoyaelewa wewe na kuleta copy & paste vya hapa na pale!
Hivi unafahamu ya kwamba oil inauzwa kwa dola ya Marekani?
Na hii ni Dunia nzima kila nchi inayonunua Mafuta ni lazima walipe kwa dola na hii ni kuanzia Albania mpaka Zimbabwe na kila lita ya Mafuta inayouzwa Dunia hii asilimia fulani lazima iende Serikali ya Marekani!

Unafahamu ya kwamba kila Dola moja inayaotumiwa Dunia hii ni lazima sehemu ya asilimia yake iende Marekani?


Hakuna Kampuni Dunia hii yenye fedha ama thamani klk Serikali ya Marekani!

sasa 150 bilioni Dola wewe ndio umeona ni fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani?
Bajeti ya Jeshi la Marekani peke yake ni zaidi ya Dola bilioni 500 na hicho ni kitengo kimoja tu, sijaongelea Elimu kwenye mambo ya Utafiti (R&D), miundombinu, Mishahara ya Wafanyakazi n.k

Marekani wana Military base Dunia nzima kuanzia Okinawa Japani mpaka Africom, Stuttgart Ujerumani na huko kote wamewekeza hela ndefu wewe unakuja kuongelea eti dola bilioni 150, hicho ni kitu gani?

Acha kudanganyika Serikali ya Marekani inauwezo wa kuchapisha hela kupitia FED na wanafanya hivyo kila siku, hivyo Apple hawawezi kuwa na fedha nyingi kuizidi Serikali ya Marekani!!

 
kunadanganya apple ni tajiri kuliko serikali ya America?

hakuna aliyeperfect kwan hata mwl naye anaweza kosea! ninachosimamia mimi, ni pale mtu unaleta pingamizi usipinge tu ili mrad uonekane umepinga! pinga kwa hoja yenye mashko, na isitoshe sio kwamba ananyenyekewa, watu tumemwamini kwa kuwa jamaa anasaidia kwa moyo wote! kwa mda wowote! na hata akipinga anapinga kwa hoja yenye mashko!! Jf upande wa wa hili jukwaa uwongo dhambi, uyu jamaa amekua mstar wa mbele sana kutoa msaada wa haraka sana ! labda nikuulize wewe vingap vya ukwel ambavyo umechangia na umesaidia wangap?
 
hakuna aliyeperfect kwan hata mwl naye anaweza kosea! ninachosimamia mimi, ni pale mtu unaleta pingamizi usipinge tu ili mrad uonekane umepinga! pinga kwa hoja yenye mashko, na isitoshe sio kwamba ananyenyekewa, watu tumemwamini kwa kuwa jamaa anasaidia kwa moyo wote! kwa mda wowote! na hata akipinga anapinga kwa hoja yenye mashko!! Jf upande wa wa hili jukwaa uwongo dhambi, uyu jamaa amekua mstar wa mbele sana kutoa msaada wa haraka sana ! labda nikuulize wewe vingap vya ukwel ambavyo umechangia na umesaidia wangap?

Kweli mkuu, chief ni kati ya watu wanaoaminika sana hili jukwaa na uwa anasaidia wengi na wala sijawahi ona aki demand kulipwa na uwa anatoa anachojua kwa wengine.
Hakuna anayemnyenyekea chief ila ni kwamba mara nyingi tumezoea ligi za kupingana kwa hoja na kwakuweka sources sasa sijui leo vipi.
 
Acha kuandika mambo usiyoyaelewa wewe na kuleta copy & paste vya hapa na pale!
Hivi unafahamu ya kwamba oil inauzwa kwa dola ya Marekani?
Na hii ni Dunia nzima kila nchi inayonunua Mafuta ni lazima walipe kwa dola na hii ni kuanzia Albania mpaka Zimbabwe na kila lita ya Mafuta inayouzwa Dunia hii asilimia fulani lazima iende Serikali ya Marekani!

Unafahamu ya kwamba kila Dola moja inayaotumiwa Dunia hii ni lazima sehemu ya asilimia yake iende Marekani?


Hakuna Kampuni Dunia hii yenye fedha ama thamani klk Serikali ya Marekani!

sasa 150 bilioni Dola wewe ndio umeona ni fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani?
Bajeti ya Jeshi la Marekani peke yake ni zaidi ya Dola bilioni 500 na hicho ni kitengo kimoja tu, sijaongelea Elimu kwenye mambo ya Utafiti (R&D), miundombinu, Mishahara ya Wafanyakazi n.k

Marekani wana Military base Dunia nzima kuanzia Okinawa Japani mpaka Africom, Stuttgart Ujerumani na huko kote wamewekeza hela ndefu wewe unakuja kuongelea eti dola bilioni 150, hicho ni kitu gani?

Acha kudanganyika Serikali ya Marekani inauwezo wa kuchapisha hela kupitia FED na wanafanya hivyo kila siku, hivyo Apple hawawezi kuwa na fedha nyingi kuizidi Serikali ya Marekani!!


hapo kwenye red nimecheka sana, kaka inaonekana mnaongea maneno yenu ya mtaani na mnalishana sumu, hujui kama serikali ya marekani ikiprint hela nyingi na nchi nayo itaathirika kiuchumi?

hivi hujawahi kujiuliza kwanini serikali ya tanzania isiprint hela nyingi kila mtu akapewa chake wote tukawa matajiri? jinsi unavyoprint hela nyingi na ikaingia kwenye mzunguko ndio jinsi unavyomaliza uchumi nitakuelezea kimifano zaidi.

serikali ya tanzania imeprint hela kibao na imenunua na kufinance mambo mengi, hela zote zimekuja mikononi mwa wananchi mimi mkwawa na watanzania wenzangu kila mmoja ana mamilioni ya hela, kuanzia leo sitaki tena kutembea kwa miguu na mimi nataka gari, hivyo naondoka na milioni zangu kadhaa naenda show room ya magari. kufika show room nakutana na watanzania kibao sababu kila mmoja ana hela za kutosha yule mwenye show room kwa sababu anaona kuna wateja wengi anaamua kupandisha bei sababu bidhaa yake imekua adimu kibajaji tu kinaanzia milioni 60. hali imekuwa tata inabidi magari yaletwe mengi lakini uwezo wa kiwanda kuzalisha ni ule ule hivyo inabidi mashine na wafanyakazi watumie muda wa ziada kuzalisha, jinsi wanavyotumia muda mwingi kuzalisha ndio wafanyakazi wanavyodai mishahara mikubwa, bandarini nako misongamano ya bidhaa mikubwa wafanyakazi nao watadai nyongeza ya mishahara hali itaendelea hivi hivi kila mtu ataenda tibiwa hospitali za private hivyo hospitali watapandisha bei sababu watu ni wengi mwisho wa siku inflation kubwa inatokea na nchi inaathirika kiuchumi.

hope umeelewa hapo

tuje kwenye serikali ya marekani vs apple

inaonekana kaka hata maana ya cash hujui ni nini chukulia mfano huu

mfanyakazi A
analipwa shilingi milioni 8
-ada ya watoto analipa milioni 2
-matumizi ya nyumbani milioni 4
-kodi ya nyumba milioni 1 na nusu
hivyo kwenye mshahara anabakia na laki 5 ya matumizi

mfanyakazi B
analipwa shilingi milioni 2
-ada ya mtoto anasoma st kayumba shilingi 10,000 tu
-matumizi ya nyumbani 690,000
-kodi ya nyumba laki 3
mwisho anabakiwa na milioni 1

mfanyakazi A japo anaingiza hela nyingi ana cash kidogo kuliko mfanyakazi B

unapozungumzia cash ni kile kiasi cha hela ambacho kipo ready kutumika, sasa hela zishaenda kwenye defence budget inamaana si za serikali tena ni za wanajeshi, na hata apple akimchallenge marekani tujenge jengo refu lenye thamani ya dola bilioni 100 serikali haiwezi ku afford sababu haina cash hela zote zimetumika na matumizi yake makubwa

hope na hapo umeelewa
 
hapo kwenye red nimecheka sana, kaka inaonekana mnaongea maneno yenu ya mtaani na mnalishana sumu, hujui kama serikali ya marekani ikiprint hela nyingi na nchi nayo itaathirika kiuchumi?

hivi hujawahi kujiuliza kwanini serikali ya tanzania isiprint hela nyingi kila mtu akapewa chake wote tukawa matajiri? jinsi unavyoprint hela nyingi na ikaingia kwenye mzunguko ndio jinsi unavyomaliza uchumi nitakuelezea kimifano zaidi.

serikali ya tanzania imeprint hela kibao na imenunua na kufinance mambo mengi, hela zote zimekuja mikononi mwa wananchi mimi mkwawa na watanzania wenzangu kila mmoja ana mamilioni ya hela, kuanzia leo sitaki tena kutembea kwa miguu na mimi nataka gari, hivyo naondoka na milioni zangu kadhaa naenda show room ya magari. kufika show room nakutana na watanzania kibao sababu kila mmoja ana hela za kutosha yule mwenye show room kwa sababu anaona kuna wateja wengi anaamua kupandisha bei sababu bidhaa yake imekua adimu kibajaji tu kinaanzia milioni 60. hali imekuwa tata inabidi magari yaletwe mengi lakini uwezo wa kiwanda kuzalisha ni ule ule hivyo inabidi mashine na wafanyakazi watumie muda wa ziada kuzalisha, jinsi wanavyotumia muda mwingi kuzalisha ndio wafanyakazi wanavyodai mishahara mikubwa, bandarini nako misongamano ya bidhaa mikubwa wafanyakazi nao watadai nyongeza ya mishahara hali itaendelea hivi hivi kila mtu ataenda tibiwa hospitali za private hivyo hospitali watapandisha bei sababu watu ni wengi mwisho wa siku inflation kubwa inatokea na nchi inaathirika kiuchumi.

hope umeelewa hapo

tuje kwenye serikali ya marekani vs apple

inaonekana kaka hata maana ya cash hujui ni nini chukulia mfano huu

mfanyakazi A
analipwa shilingi milioni 8
-ada ya watoto analipa milioni 2
-matumizi ya nyumbani milioni 4
-kodi ya nyumba milioni 1 na nusu
hivyo kwenye mshahara anabakia na laki 5 ya matumizi

mfanyakazi B
analipwa shilingi milioni 2
-ada ya mtoto anasoma st kayumba shilingi 10,000 tu
-matumizi ya nyumbani 690,000
-kodi ya nyumba laki 3
mwisho anabakiwa na milioni 1

mfanyakazi A japo anaingiza hela nyingi ana cash kidogo kuliko mfanyakazi B

unapozungumzia cash ni kile kiasi cha hela ambacho kipo ready kutumika, sasa hela zishaenda kwenye defence budget inamaana si za serikali tena ni za wanajeshi, na hata apple akimchallenge marekani tujenge jengo refu lenye thamani ya dola bilioni 100 serikali haiwezi ku afford sababu haina cash hela zote zimetumika na matumizi yake makubwa

hope na hapo umeelewa

Mbona unajichanganya, umesema ya kwamba kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani halafu unakuja tena na kusema hapana ni kile kiasi kinachobaki baada Serikali ya Marekani kutenga bajeti yake yote, sasa kipi ni kipi?
Kwani hiyo bajeti ya Serikali ya Marekani fedha ya nani? Na kwanini Fedha ibaki baada ya bajeti kuwa imeshatengwa? Unaelewa maana ya bajeti? Kama haulewi ni hivi leo hii Ukiiambia Serikali ya Marekani inunue Kampuni Apple wataingiza hilo kwenye bajeti na Bajeti ijayo watainunua ni hivyo tu!

Kama kweli hiyo Kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko serikali ya Marekani ina maana tukichukulia kinadharia ina uwezo wa kuendesha Serikali ya Marekani kama ingeambiwa ifanye hivyo, ina maana Kampuni ya Apple ingeweza kulipia Jeshi hiyo Bilioni 500 (dola), ingeweza kulipia Military Base zote za Marekani Duniani kwa kifupi ingeweza kuendesha nchi ya Mareakni ndiyo maana yake kama ukisema ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani!
 
Nilikuwa nadhani unapotetea NOKIA unatumia akili, kumbe wamekukaririsha, Khaaaa!!!! Hadi unatia kinyaa.

Yaani APPLE aizidi serikali ya USA kwa fedha? You must be out of your mind na hii inasabishwa na kumsikiliza sana Lil Jon.



Ukitaka kujua ubabe wa serikali ya USA, waulize Big 3 wa magari kuwa walipokwama, nani kawaokoa. Hata hao NASA, Pentagon, CIA, Secrety service, US Army nk, nani anawalisha na kuwahudumia. Ikalaga baho.

kuwa kampuni kubwa si hoja, apple ana hela kushinda serikali ya marekani lakini hilo halimfanyi kuwa anajua kila kitu.
 
Last edited by a moderator:
Mwambie huyu jamaa maana ni Muongo sana kumbe. Nilikuwa nadhani ana point sana kumbe kama Mkwawa wote, ni mla mbwa tu. Mhehe bana, kama Lukosi vile (utani kwa mbaaali, kama si Mhehe basi huu utani si wako, poteza).

Sasa hivi Dola ya USA imepanda sana kwa sababu Warusi wananunua sana Dola ili kutunza baada ya hela yao kuwa inaporomoka kwa nguvu. Mrusi alikuwa na Reserve ya dola nyingi sana na hakutegemea USA anaweza kutembeza ubabe mkubwa namna hii. Hata Mchina, kama hawa Majasusi wa USA wakiamua kuwadeal, mnaweza kushangaa. USA wapo kwenye game ya utapeli na wizi wa fedha kwa miaka mingi sana.

Mbona unajichanganya, umesema ya kwamba kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani halafu unakuja tena na kusema hapana ni kile kiasi kinachobaki baada Serikali ya Marekani kutenga bajeti yake yote, sasa kipi ni kipi?
Kwani hiyo bajeti ya Serikali ya Marekani fedha ya nani? Na kwanini Fedha ibaki baada ya bajeti kuwa imeshatengwa? Unaelewa maana ya bajeti? Kama haulewi ni hivi leo hii Ukiiambia Serikali ya Marekani inunue Kampuni Apple wataingiza hilo kwenye bajeti na Bajeti ijayo watainunua ni hivyo tu!

Kama kweli hiyo Kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko serikali ya Marekani ina maana tukichukulia kinadharia ina uwezo wa kuendesha Serikali ya Marekani kama ingeambiwa ifanye hivyo, ina maana Kampuni ya Apple ingeweza kulipia Jeshi hiyo Bilioni 500 (dola), ingeweza kulipia Military Base zote za Marekani Duniani kwa kifupi ingeweza kuendesha nchi ya Mareakni ndiyo maana yake kama ukisema ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani!
 
Mwambie huyu jamaa maana ni Muongo sana kumbe. Nilikuwa nadhani ana point sana kumbe kama Mkwawa wote, ni mla mbwa tu. Mhehe bana, kama Lukosi vile (utani kwa mbaaali, kama si Mhehe basi huu utani si wako, poteza).

Sasa hivi Dola ya USA imepanda sana kwa sababu Warusi wananunua sana Dola ili kutunza baada ya hela yao kuwa inaporomoka kwa nguvu. Mrusi alikuwa na Reserve ya dola nyingi sana na hakutegemea USA anaweza kutembeza ubabe mkubwa namna hii. Hata Mchina, kama hawa Majasusi wa USA wakiamua kuwadeal, mnaweza kushangaa. USA wapo kwenye game ya utapeli na wizi wa fedha kwa miaka mingi sana.

Mkuu naona unabishi bure fanya kazi ndogo kasome nitakuwekea link za forbes na bbc technology.
Si kwamba haya makampuni yanakuwa na utajili kuzidi serikali, lah hasha ila yanakuwa na cash nyingi yani yakitoa expenses ela wanayobaki nayo in hand ni nyingi kuliko wanayobaki nayo serikali after expenditure ya budget.
Sio apple tu makampuni mengi tu ya kimarekani.
Natumia simu lakini nitawapeni link ya jarida la forbes na bbc msome.
 
Kwa hiyo Rais Kikwete atakavyokuwa Davos na mihela yake mfukoni, na Bill Gates akawa na Card za Bank mfukoni, basi Rais Kikwete atakuwa FEDHA nyingi kumzidi Bill Gates siyo?

Ahhh, sawa bana, uko sawa na umeshinda. Ila kumbuka maneno ya Kikwete: "Akili za kuambiwa na Forbs & BBC, changanya na za kwako."

Mkuu naona unabishi bure fanya kazi ndogo kasome nitakuwekea link za forbes na bbc technology.
Si kwamba haya makampuni yanakuwa na utajili kuzidi serikali, lah hasha ila yanakuwa na cash nyingi yani yakitoa expenses ela wanayobaki nayo in hand ni nyingi kuliko wanayobaki nayo serikali after expenditure ya budget.
Sio apple tu makampuni mengi tu ya kimarekani.
Natumia simu lakini nitawapeni link ya jarida la forbes na bbc msome.
 
sasa kwani ni kitu kigeni? apple ana hela (cash) kuliko serikali ya marekani na hayajaanza leo karibu mwaka wa nne huu. ukumbuke tunapozungumzia hela hatumaanishi value ya nchi ya marekani vs kampuni ya apple bali tunamaanisha kiasi cha hela ambacho wanacho mara nyingi kinakuwa bank,

apple sasa hivi ana cash usd 158b ambazo ni karibu trilioni 300 za kitanzania. bajeti yetu ya nchi ya miaka 10 iliopita haijafikia kiasi hiki.

mimi nakupa proof kwa kukupa link za website mbalimbali kuwa apple ana hela kushinda serikali ya marekani na link zote ni za mwaka 2014, lete na wewe link yako kuwa serikali ya marekani ina hela kuliko apple

Apple has THREE TIMES as much cash as US govt, TWICE the UK • The Register

Apple Inc., Microsoft Corp., Google Inc. cash stockpiles dwarf U.S. Treasury - Silicon Valley Business Journal

na pia hiki kitu si kigeni hapa jukwaani kuna topic kibao zinaelezea

https://www.jamiiforums.com/interna...a-haa-wana-pesa-kuliko-serikali-ya-obama.html

Wew acha uongo..
 
Mbona unajichanganya, umesema ya kwamba kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani halafu unakuja tena na kusema hapana ni kile kiasi kinachobaki baada Serikali ya Marekani kutenga bajeti yake yote, sasa kipi ni kipi?
Kwani hiyo bajeti ya Serikali ya Marekani fedha ya nani? Na kwanini Fedha ibaki baada ya bajeti kuwa imeshatengwa? Unaelewa maana ya bajeti? Kama haulewi ni hivi leo hii Ukiiambia Serikali ya Marekani inunue Kampuni Apple wataingiza hilo kwenye bajeti na Bajeti ijayo watainunua ni hivyo tu!

Kama kweli hiyo Kampuni ya Apple ina fedha nyingi kuliko serikali ya Marekani ina maana tukichukulia kinadharia ina uwezo wa kuendesha Serikali ya Marekani kama ingeambiwa ifanye hivyo, ina maana Kampuni ya Apple ingeweza kulipia Jeshi hiyo Bilioni 500 (dola), ingeweza kulipia Military Base zote za Marekani Duniani kwa kifupi ingeweza kuendesha nchi ya Mareakni ndiyo maana yake kama ukisema ina fedha nyingi kuliko Serikali ya Marekani!

so unaclaim hakuna hela inayobaki? inamaana obama akija ghafla tanzania hatuna hata sh 50 ya kumnunulia andazi? sababu budget imepita na tumeshapanga kila kitu.

nimewapa source ya forbes mumekataa sasa hivi nawapa ya cnn, bbc na yahoo mkibisha na hizi sasa mi nitakuwa sina la kuongea tena ni vyema mkaenda kwenye hivi vyombo vya habari mkawakosoe wao maana sisi tunajifunza toka kwao.

BBC News - Apple holding more cash than USA

Apple has more cash than the federal government

Apple now has more cash than the U.S. government - CNN.com
 
Kwa hiyo Rais Kikwete atakavyokuwa Davos na mihela yake mfukoni, na Bill Gates akawa na Card za Bank mfukoni, basi Rais Kikwete atakuwa FEDHA nyingi kumzidi Bill Gates siyo?

Ahhh, sawa bana, uko sawa na umeshinda. Ila kumbuka maneno ya Kikwete: "Akili za kuambiwa na Forbs & BBC, changanya na za kwako."

umeshawahi kusoma course yoyote inayohusiana na biashara au uchumi? kama hujasoma tutabishana hadi kesho maana unajibu vitu kimtaani zaidi kuliko kiproffesional

hii hapa ni definition ya cash kibiashara/uchumi

Ready money. For accounting purposes, cash includes money in hand, petty cash, bank account balance, customer checks, and marketable securities. It may also include the unutilized portion of an overdraft facility or line of credit.

mfano mmasai hata akiwa na ng'ombe 100 ile sio cash japo value yake ni kubwa. ila akiuza wale ng'ombe wakaja kwenye noti/sarafu then zile hela asiziingize kwenye mzunguko wa biashara basi itakuwa ni cash.

hela ya kwenye account ni cash, hivyo bill gate kama ana hela kwenye account hio ni cash.

hivyo kwa lugha nyengine tunaweza kusema apple ana hela nyingi kwenye bank account yake kuliko bank acount ya serikali ya marekani labda hapa utaelewa
 
so unaclaim hakuna hela inayobaki? inamaana obama akija ghafla tanzania hatuna hata sh 50 ya kumnunulia andazi? sababu budget imepita na tumeshapanga kila kitu.

nimewapa source ya forbes mumekataa sasa hivi nawapa ya cnn, bbc na yahoo mkibisha na hizi sasa mi nitakuwa sina la kuongea tena ni vyema mkaenda kwenye hivi vyombo vya habari mkawakosoe wao maana sisi tunajifunza toka kwao.

BBC News - Apple holding more cash than USA

Apple has more cash than the federal government

Apple now has more cash than the U.S. government - CNN.com
wewe jamaa ni muongo sana bora ubakie kwenye mambo ya visimu lakini kwingine wewe ni mweupe sana
 
Back
Top Bottom