Nimeweka mafuta ya 80,000 tsh hayajafika hata nusu
Duuuh hilo jini mkuu sio gari kwa hizo cc bila shaka pia ni six cylinderNimeweka mafuta ya 80,000 tsh hayajafika hata nusu
Kweli mkuu maana kuna kamnyama vw gti kana 300 km per hour so bila shaka huyo cedric labda ashindane na wenzake wa hizo 180km'hrMbio za magari kwa gari ya speed mwisho 180kph? Ur kidding Bro
Tupe experience yako ufundi, wese, vipuri n.kGari luxury hizi mkuu. Naitafutia safari ya Sumbawanga-mpanda-tabora-mwanza-tarime na kurudi (naondoka jioni).
Gari luxury hizi mkuu. Naitafutia safari ya Sumbawanga-mpanda-tabora-mwanza-tarime na kurudi (naondoka jioni).[/QUOTE
Usije pitia njia ya Mpanda -sikonge-Tabora
Hutatoboa Kwa jinsi ilivyo mbovu
Pitia uvinza
Sendoro Mbazi uvinza unaingilia wapi mkuu! Dar-Swanga kuna mkeka wa maana
Naona wajuzi wa speed mmekutanaacha ushamba, Subaru sti na mitsubishi evo ina hzo speed180 na watu wanazitumia kwenye mbio za magari! mbio za magari sio kuangalia tu speed kwenye dashboard mwisho ngapi bali kuna mambo mengi! usikariri
MKUU ile bighorn bado unayo???
Ingia pm utaniona bossDaah ngoja nilenge VITZ angalau naweza kuimudu
Vyuma..pili hayo magari hayauziki kwa bei ya kurisha ukishalinunua....body yake ikichoka inatepeta kama bamia....zaidi ni six cylinders hivyo consumption yake si rafiki saaana kama hela ni hizi za mshahara wa serikalini awamu hiiKuna jamaa humu nimeona anauza Verossa 3.0m na inatembea fresh. Ni vyuma au nini?