Hata mi naelewa hivi.Acheni kumtisha jaman. Non stop haiwezekani maaana humo njian LAZIMA alisimama kula, alisimama kuchimba dawa, alisimama kujaza mafuta, alisimama kwenye vizuizi vya askari nk point yake hakuzima gari kitu ambacho ni kawaida tu wala hakuna madhara. Acheni uswahili na stori za vijiweni. Injini ina mfumo wake wa Upozaji na kama inafanyakazi kiaswa sawa hata siku 3 masaa 72 chombo inatembea tuuuu. Gooogle hapo maximum hours ya Dualis Engine kufanyakazi non stop utapata jibu gani? Kusimama na gari kila baada ya 200km huwa ina lengo la check up ya magurudumu, dereva kujinyoosha nk nk lkn siyo kwamba upumzishe injini
Acha genye
nyie machocco tu, watu wanasafiri na pikipiki boxer mtwara to morogoro non stop itakuwa gari yenye cooling system ya uhakika? au ndo mawazo yenu ya kimaskini, kuna mabasi yanasafiri dar to mwanza na yakifikia asubuhi yanageuka tena dailyAnawashwa kijambio huyu
Mkuu, usijali wala usikhofu, hao wanao kutisha wanazifananisha hizi nissan kuwa kama toyota.Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.
Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
Zinawakaga moto hizoWataalam wangu mje hapa kunipa Somo jinsi ya kuilinda Hii Gari yangu.Bila kuathiri ruti zangu za Dar Arusha na hata huku Tarime.
Maana hii Chuma inatembea balaa.
Hii Chuma ni shidaa...Mzee faini za tochi ilipiga mara ngapi ila pole na safari kama gari hikuripuka moto hongera.......
Sawa kabisa mtaalam wa kuchuana....endelea kuchua.Hii Chuma ni shidaa...
Inavuta mpaka nachuana na Gari za Serikali
Ukiwa matured kiasi cha kutosha....huwezi kuita gari la mtu kiberiti.....yani hata cruser hard top siwezi ifanyia ujinga kama huo asee, panda nyeunge moro mwanza kashukire kituoni buzuruga uone nzigo unavo pozwa, sasa hako kakiberi nakushauri kauzie huko huko
Wape elimu vijana...Acheni kumtisha jaman. Non stop haiwezekani maaana humo njian LAZIMA alisimama kula, alisimama kuchimba dawa, alisimama kujaza mafuta, alisimama kwenye vizuizi vya askari nk point yake hakuzima gari kitu ambacho ni kawaida tu wala hakuna madhara. Acheni uswahili na stori za vijiweni. Injini ina mfumo wake wa Upozaji na kama inafanyakazi kiaswa sawa hata siku 3 masaa 72 chombo inatembea tuuuu. Gooogle hapo maximum hours ya Dualis Engine kufanyakazi non stop utapata jibu gani? Kusimama na gari kila baada ya 200km huwa ina lengo la check up ya magurudumu, dereva kujinyoosha nk nk lkn siyo kwamba upumzishe injini
Aisee..Hakuna gari isiyotembea hata Passo ingefika huko... Ila umeifanya gari itembee kwa maumivu baada ya siku mbili tatu ikikuletea shida utambue ni huo ujinga wako wa kuitembeza Non-stop... Ulipaswa uipumzishe tena ikibidi kwa kuizima angalau dk15-20 kila baada ya kilometers 500... Mabasi na malori yanapumzika sembuse hiko Ki Dualis chako...
Wabongo hamjui kuzitumia na kuzitunza gari, zikianza kuharibika mnasingizia wazungu na wajapan bure kwamba gari zao mbovu...
Hii kitu imenistua Sana,Duuh Dualis dar to tarime non stop......unachokitafuta utakipata.
Hii Gari anatak kuiua mapema mnoyani hata cruser hard top siwezi ifanyia ujinga kama huo asee, panda nyeunge moro mwanza kashukire kituoni buzuruga uone nzigo unavo pozwa, sasa hako kakiberi nakushauri kauzie huko huko
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.
Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
Ni vema kuipumzisha Kila Baada yakilometa kadhaa, Naamini Kuna mahali ulikula au kujinyosha na kuchimba dawaHakuna gari ambayo haiwezi kufanya hivyo.itategemea uimara wake ukoje na service umefanya ya kiwango gani kabla ya safari.
Haina shida boss mie nmeshawahi kutoka nayo from mtwara to mwanza kupitia dar bila kuiIma vile vile sababu msukuma yule alikuwa anataka j3 awe kazini.Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.
Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.