Nissan Dualis Imetembea Non Stop Dar to Musoma

Nissan Dualis Imetembea Non Stop Dar to Musoma

Acheni kumtisha jaman. Non stop haiwezekani maaana humo njian LAZIMA alisimama kula, alisimama kuchimba dawa, alisimama kujaza mafuta, alisimama kwenye vizuizi vya askari nk point yake hakuzima gari kitu ambacho ni kawaida tu wala hakuna madhara. Acheni uswahili na stori za vijiweni. Injini ina mfumo wake wa Upozaji na kama inafanyakazi kiaswa sawa hata siku 3 masaa 72 chombo inatembea tuuuu. Gooogle hapo maximum hours ya Dualis Engine kufanyakazi non stop utapata jibu gani? Kusimama na gari kila baada ya 200km huwa ina lengo la check up ya magurudumu, dereva kujinyoosha nk nk lkn siyo kwamba upumzishe injini
Hata mi naelewa hivi.

Engine za gari zimesukwa kitaalamu kiasi kwamba kama zinafanya vizuri basi hakuna haja ya kuogopa kitu.
 
Acha genye
Anawashwa kijambio huyu
nyie machocco tu, watu wanasafiri na pikipiki boxer mtwara to morogoro non stop itakuwa gari yenye cooling system ya uhakika? au ndo mawazo yenu ya kimaskini, kuna mabasi yanasafiri dar to mwanza na yakifikia asubuhi yanageuka tena daily
 
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.

Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
Mkuu, usijali wala usikhofu, hao wanao kutisha wanazifananisha hizi nissan kuwa kama toyota.
Jameni, msichukue mawazo yenu ya Toyota mkatuletea kwenye Nissan.
Nissan sio Toyota.
 
Acheni kumtisha jaman. Non stop haiwezekani maaana humo njian LAZIMA alisimama kula, alisimama kuchimba dawa, alisimama kujaza mafuta, alisimama kwenye vizuizi vya askari nk point yake hakuzima gari kitu ambacho ni kawaida tu wala hakuna madhara. Acheni uswahili na stori za vijiweni. Injini ina mfumo wake wa Upozaji na kama inafanyakazi kiaswa sawa hata siku 3 masaa 72 chombo inatembea tuuuu. Gooogle hapo maximum hours ya Dualis Engine kufanyakazi non stop utapata jibu gani? Kusimama na gari kila baada ya 200km huwa ina lengo la check up ya magurudumu, dereva kujinyoosha nk nk lkn siyo kwamba upumzishe injini
Wape elimu vijana...
Maana ukisoma koment za wengi humu utagundua hawajui chochote kuhusu magari....
 
Hakuna gari isiyotembea hata Passo ingefika huko... Ila umeifanya gari itembee kwa maumivu baada ya siku mbili tatu ikikuletea shida utambue ni huo ujinga wako wa kuitembeza Non-stop... Ulipaswa uipumzishe tena ikibidi kwa kuizima angalau dk15-20 kila baada ya kilometers 500... Mabasi na malori yanapumzika sembuse hiko Ki Dualis chako...
Wabongo hamjui kuzitumia na kuzitunza gari, zikianza kuharibika mnasingizia wazungu na wajapan bure kwamba gari zao mbovu...
Aisee..
 
yani hata cruser hard top siwezi ifanyia ujinga kama huo asee, panda nyeunge moro mwanza kashukire kituoni buzuruga uone nzigo unavo pozwa, sasa hako kakiberi nakushauri kauzie huko huko
Hii Gari anatak kuiua mapema mno
 
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.

Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.

Kamwe usiwaamini mafundi, huo ndo ushauri, google kuthibitisha maneno yao, mafundi wa dar ni wa hovyo, wezi, walaghai, wahuni na washenzy.
 
Hakuna gari ambayo haiwezi kufanya hivyo.itategemea uimara wake ukoje na service umefanya ya kiwango gani kabla ya safari.
Ni vema kuipumzisha Kila Baada yakilometa kadhaa, Naamini Kuna mahali ulikula au kujinyosha na kuchimba dawa
 
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima.

Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
Haina shida boss mie nmeshawahi kutoka nayo from mtwara to mwanza kupitia dar bila kuiIma vile vile sababu msukuma yule alikuwa anataka j3 awe kazini.

Gari ilitoboa na mpaka leo jamaa anaitumia sema tu tulipiga service ya maana almost 2m kasoro ilizama tyre mpya kila kitu kilikuwa kma gar imetoka japan

Ugonjwa wa hizo gari ni pale utakapoanza kuweka spear na service za kunjunga ndo hpo lazma uje kulia.

Pia issue ya pili hakikisha likitokea tatizo la wiring/umeme wa gari basi mpe fundi maalum wa nissan syo hawa mafundi wetu wa mtaani anaekata nywaya toka huko na kuja kuunga bila kujua nywaya hii ya wapi na usifanye matengenezo ya umeme bila kupima na diagnosis mashine.

Kwani ukifanya kuripua tu kwenye wiring kwa fund wa chini ya mti sku ikitokea loose kidogo tu utashngaa tu gar uko ndan kwako nje inaungua au hata kwenye foleni chombo limelipuka
 
Back
Top Bottom