Shepherd JF-Expert Member Joined Dec 14, 2012 Posts 2,428 Reaction score 1,656 May 21, 2023 #61 Ukisema nonstop siamini sababu Aina Tanki la mafuta ya kuweza kukufikisha Musoma kutoka Dar bila kusimama na kuongeza.
Ukisema nonstop siamini sababu Aina Tanki la mafuta ya kuweza kukufikisha Musoma kutoka Dar bila kusimama na kuongeza.
P paqwa JF-Expert Member Joined Sep 13, 2019 Posts 2,106 Reaction score 2,831 May 21, 2023 #62 IDFakenyingine said: Acha hizo... Niko nayo huku mkoani, rough road 30km then lami 52km (kwenda na kurudi ni 60km rough na 102km lami) three times a week, na inakaribia mwaka sasa haisumbui chochote! Hiyo gari ni ngumu tofauti hata na muonekano wake! Click to expand... We utakuwa unanyata sana sababu unaionea huruma bado piru. Ila ni suala la muda. Utakuja kujua hujui. Mwaka mdogo sana.
IDFakenyingine said: Acha hizo... Niko nayo huku mkoani, rough road 30km then lami 52km (kwenda na kurudi ni 60km rough na 102km lami) three times a week, na inakaribia mwaka sasa haisumbui chochote! Hiyo gari ni ngumu tofauti hata na muonekano wake! Click to expand... We utakuwa unanyata sana sababu unaionea huruma bado piru. Ila ni suala la muda. Utakuja kujua hujui. Mwaka mdogo sana.
IDFakenyingine Senior Member Joined Sep 28, 2022 Posts 176 Reaction score 441 May 21, 2023 #63 paqwa said: We utakuwa unanyata sana sababu unaionea huruma bado piru. Ila ni suala la muda. Utakuja kujua hujui. Mwaka mdogo sana. Click to expand... Gari huko Japan imetumika miaka kadhaa... Imeupiga mwendo zaidi ya 50,000kms... Imefika Bongo, umeipokea ina hali nzuri kabisa (tunasema mpyaaa!)... Hii gari ikikufia au ikianza kusumbua ndani ya muda mfupi USITAFUTE visingizio... Tatizo itakuwa ni wewe mwenyewe UMESHINDWA KUITUNZA/ KUIHUDUMIA!
paqwa said: We utakuwa unanyata sana sababu unaionea huruma bado piru. Ila ni suala la muda. Utakuja kujua hujui. Mwaka mdogo sana. Click to expand... Gari huko Japan imetumika miaka kadhaa... Imeupiga mwendo zaidi ya 50,000kms... Imefika Bongo, umeipokea ina hali nzuri kabisa (tunasema mpyaaa!)... Hii gari ikikufia au ikianza kusumbua ndani ya muda mfupi USITAFUTE visingizio... Tatizo itakuwa ni wewe mwenyewe UMESHINDWA KUITUNZA/ KUIHUDUMIA!