Nissan Dualis inagonga ukikata kona

Nissan Dualis inagonga ukikata kona

Tebajanga

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
74
Reaction score
106
Habari wakuu, nina Nissan Dualis ya 2010. Pindi ukikata kona inakuwa inagonga.

Wiki iliyopita nilikagua CV Rubber boot na mojawapo ikawa imekatika. Nikaenda kwa fundi akaisafisha CV joint na kuweka rubber mpya.

Ndani ya siku mbili ule mlio haukuwepo, ila sasa umerudi tena na hakuna rubber iliyokatika.

Shida inaweza ikawa ni nini?
 
Habari wakuu, nina Nissan Dualis ya 2010. Pindi ukikata kona inakuwa inagonga.

Wiki iliyopita nilikagua CV Rubber boot na mojawapo ikawa imekatika. Nikaenda kwa fundi akaisafisha CV joint na kuweka rubber mpya.

Ndani ya siku mbili ule mlio haukuwepo, ila sasa umerudi tena na hakuna rubber iliyokatika.

Shida inaweza ikawa ni nini?
kaichecko tena mkuu,unaweza kuta ni stablizer link moja imekatika.

Otherwise vipi general performance ya Duals,unajuta chochote?au unaweza mshauri mwingine anunue?
 
kaichecko tena mkuu,unaweza kuta ni stablizer link moja imekatika.

Otherwise vipi general performance ya Duals,unajuta chochote?au unaweza mshauri mwingine anunue?
Nitaenda kucheki.

Dualis kwa performance ipo fresh na hata comfortability yake ni nzuri. Ipo stable hata kwa speed ya 110+ (Mimi huwa sivuki 120)

Pia ipo juu hata kwa njia ambazo gari nyingine zinapita kwa shida yenyewe inapita. Kwa mimi uendeshaji wangu mafuta inaenda hadi 11km per litre.

Nawashukuru sana wakuu humu JF kwa ushauri wao na niliweza tumia oil husika na imesaidia sana.

Tangia niichukue hili ni tatizo la pili. La kwanza lilikuwa ni bushes.

Nashauri ni gari nzuri kwa kununua.

Frankly hata baadae Mungu akipenda naweza chukua Dualis ya 2nd or 3rd generation.
 
Nitaenda kucheki.

Dualis kwa performance ipo fresh na hata comfortability yake ni nzuri. Ipo stable hata kwa speed ya 110+ (Mimi huwa sivuki 120)

Pia ipo juu hata kwa njia ambazo gari nyingine zinapita kwa shida yenyewe inapita. Kwa mimi uendeshaji wangu mafuta inaenda hadi 11km per litre.

Nawashukuru sana wakuu humu JF kwa ushauri wao na niliweza tumia oil husika na imesaidia sana.

Tangia niichukue hili ni tatizo la pili. La kwanza lilikuwa ni bushes.

Nashauri ni gari nzuri kwa kununua.

Frankly hata baadae Mungu akipenda naweza chukua Dualis ya 2nd or 3rd generation.
Mkuu hebu tuwekee gharama za vifaa mbalimbali vya services hapa ili tupate picha ya gharama za vifaa kwa Nissan.
 
Habari wakuu, nina Nissan Dualis ya 2010. Pindi ukikata kona inakuwa inagonga.

Wiki iliyopita nilikagua CV Rubber boot na mojawapo ikawa imekatika. Nikaenda kwa fundi akaisafisha CV joint na kuweka rubber mpya.

Ndani ya siku mbili ule mlio haukuwepo, ila sasa umerudi tena na hakuna rubber iliyokatika.

Shida inaweza ikawa ni nini?
Wheel bearing! Mwambie afungue mguu huko ambako kelele inatokea akuangalizie wheel bearing
 
Anyway kila mtu anashauri lake..

Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...

Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.

Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..

Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..

Hapo jombaa kabadili tu cv joint.
 
Anyway kila mtu anashauri lake..

Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...

Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.

Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..

Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..

Hapo jombaa kabadili tu cv joint.

Anasema inagonga akiwa anakata kona sio kwamba inatoa huo mlio wa kha kha kha
 
Anyway kila mtu anashauri lake..

Kama mwanzo boot rubber ilikuwa imekati, nina uhakika zaidi ya 90% cv joint imeshakufa...

Endpo ukikata kona ukasika mlio wa kha kha kha kha khaa khaa....hapo cv joint imeshakufa..badilisha.

Kuna watu wamesema bearing...bearing ikifa dalili za mwanzo ungesikia sauti ya kuvuma haswa ukiwa kwenye lami na si rough road...bearing ikifa zaidi tairi linaweza kuwa na play..

Stablizer link zikifa angesikia kelele za kugonga kwenye nyia ya mashimo mashimo au vimawe mawe...na hiyo kugonga ukiwa makini utahisi impact yake mpake kwenye usukani..

Hapo jombaa kabadili tu cv joint.

Inawezekana, nitaenda kucheki.
Wiki ikiyopita pindi fundi anasafisha CV joint alisema ningechelewa kidogo ningeiua.
 
Back
Top Bottom