Car4Sale Nissan dualis inahitaji milioni 15 namba E

Car4Sale Nissan dualis inahitaji milioni 15 namba E

Sudi jr

Senior Member
Joined
Aug 4, 2017
Posts
134
Reaction score
179
Habari ndugu zangu, Nissan Dualis ipo sokoni inaenda kwa Tsh mil 15
Mwaka 2009
CC 1990
Km 90k
Haina kipengele
Location Dar es Salaam-Tabata
Simu ziite ndugu zangu
0752463715
0776363230

Biashara maelewano.
 

Attachments

  • Screenshot_20240430-084126_Gallery.jpg
    Screenshot_20240430-084126_Gallery.jpg
    151.9 KB · Views: 27
  • Screenshot_20240430-084051_Gallery.jpg
    Screenshot_20240430-084051_Gallery.jpg
    141.9 KB · Views: 27
  • Screenshot_20240430-084103_Gallery.jpg
    Screenshot_20240430-084103_Gallery.jpg
    234.5 KB · Views: 26
  • Screenshot_20240430-084116_Gallery.jpg
    Screenshot_20240430-084116_Gallery.jpg
    483.7 KB · Views: 28
Una uhakika haijaanza kuleta changamoto zozote zile?
Hizi gari watu wanaziogopa ila ni gari nzuri sana. Kitu ambacho nimeona ni changamoto kwake ni kupata TCM ambayo inaendana na namba ya ile uliyotoa maana nadhan mojawapo ya shida ya hizi gari ni kufa tcm module jambo ambalo fundi ambaye si makini atakwambia imekufa gearbox.
 
Back
Top Bottom