Acha mawazo mgando hayo! Maisha hayapo hvyo! Hauna tofauti na mtu anaona bora ananunue midosho ya nguo ishirini ya bukubuku kliko nguo moja ya maana ya elf20.Kutumia milion 20 kwa ajili private car si bora ninunue toyota hiace kwa siku iniingizie 60,000.
Mkumbushe bei ya taa moja ya fugaAcha uoga, jilipue na Nissan Fuga mkuu.
Lugha za kidalali hizo zinanichekeshagaWheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu
Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000
Taa ikipasuka moja andaaa 700000
Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss
Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake
Bush zinaanzia 240,000 kuendelea
Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili
Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza
Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000
Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
Wheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu
Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000
Taa ikipasuka moja andaaa 700000
Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss
Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake
Bush zinaanzia 240,000 kuendelea
Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili
Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza
Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000
Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
Mwenge hadi Tegeta kwa mafuta ya 20K sio ukweli.Wheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu
Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000
Taa ikipasuka moja andaaa 700000
Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss
Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake
Bush zinaanzia 240,000 kuendelea
Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili
Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza
Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000
Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
Mi nawashangaa sana. Sahivi napush fuga VQ35DEMwenge hadi Tegeta kwa mafuta ya 20K sio ukweli.
Labda kuwe na foleni bampa to bampa mpaka tegeta.
Ila kama barabara imenyooka, hata VX V8 haitumii mafuta ya 20,000.
Unajaza watu uoga. Cc 2500 ni gari ya kawaida sana kuiendesha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Wabongo tunajazana uoga na ujinga sana.Mi nawashangaa sana. Sahivi napush fuga VQ35DE
Honestly tunaogopa tu injini kubwa kwamba zinakula mafuta. Hii ngoma inachoma 4kmpl kwenye bampa to bampa foleni while using AC, 5-6kmpl kwenye foleni ya kawaida na 8kmpl panapokuwa hakua foleni mfano usiku. These values are based on the average fuel consumption kwenye infotainment system ya gari, na zinamatch na ninacholipia sheli.
Shockup nimenunua kwa 255jerry each 150k. Hiyo 550k sijui mwamba aliitoa wapi.
Plus ni gari international so unaweza ukaagiza spare za Infini M35 from UK au US ukafunga.
Kumbe as long as una ABCs za magari they are all the sameWabongo tunajazana uoga na ujinga sana.
Ukiacha Rav 4 na ist hakuna gari utakayoambiwa haisumbui.
Kuna Jamaa namuona nayo nije nimuulizeWabongo tunajazana uoga na ujinga sana.
Ukiacha Rav 4 na ist hakuna gari utakayoambiwa haisumbui.
Ha ha ha. Mengi ni ya kweli. Japo umeongeza chumvi hapo kwenye mafuta Mwenge-Tegeta (20,000 TZS).Wheel bearinga ni usd 750 za upande wa mbele tu
Shockuup ya mguu moja ni 550,000 inamaana miguu 4 ni 2200000
Taa ikipasuka moja andaaa 700000
Mafuta inachagua ukiweka super andaa kuondoa miss
Kumbuka mafundi wanaogopa kufungua injini yake
Bush zinaanzia 240,000 kuendelea
Kumbuka uliweka spea feki au zilizochini ya kiwango kila mwezi utakua unabadili
Kama huna pesa za strec Fuga ni gari nzuri sana ni stable luxiurious comfotable na nzuri ya kuopolea watoto wazuri. Wenyewe wanasema its more comfotable to be heartbroken inside the might fuga than an altezza
Mafuta nisiongelee sana kama unatoka mwenge hadi tegeta anadaa 20000
Kama una strec na hela za kibubu tafuta starlet au premio hata allex sio mbaya ukishindwa sana basi IST ama Passo
SUZUKI GRAND ESCUDO nayo V6 lakini mafuta kibaba.Hahahahah nikukumbushe tu hio gari ni V6 ya 2.5L ambayo unatakiwa uwe na walau kipato cha 70,000 ya kuchezea kila siku ndio utaiinjoy maana nissan zinabubuja wese kuliko Toyota ma piston yake makubwa zaidi.
Kinyume na hapo hutachukua mwezi utarudi kuanzisha uzi wa kutaka ku swap engine uulize wadau kama engine ya IST au Passo ipi itafaa kufungwa kwenye Fuga.
Nissan ni gari imara sana ila ukiacha Bluebird sylphy na March hamna ambayo inaendesheka kirahisi. Hio Xtrail tu ingawa sio 6 ila walionazo wanakoma.
Ukiwa na gari ya maana kabla ya nyumba hata mfuko wa summent hununui😅😅Ha ha ha. Mengi ni ya kweli. Japo umeongeza chumvi hapo kwenye mafuta Mwenge-Tegeta (20,000 TZS).
HahahahahahaUkiwa na gari ya maana kabla ya nyumba hata mfuko wa summent hununui[emoji28][emoji28]