Nissan Juke 2nd Generation: Upgrade ya Kibabe

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Mwaka 2010, Nissan walitengeneza Nissan Juke 1st generation iliokuwa designed na Kenji Kawasaki na mwenzie, wakaja na hii design:


Ni gari nzuri, nje na ndani, comfortability, efficiency na practicability.

Sasa kuanzia 2019 kuna madesigner watatu wakaambiwa waunde 2nd generation ya hii Nissan Juke. Wakaja na hii:


Ina muonekano Bora zaidi nje na ndani, ina nafasi ingawa ni ndogo kidogo kwa Dualis.



Engine:
Utachagua cc 1000 i3 turbo au cc 1600 i4 ya hybrid.



Bei:
Mjapan anataka kuanzia CIF ya $9000 na TRA wanataka kuanzia Mil 17 ushuru.
 
Kwakweli uzuri wa kitu upo machoni pa anayekitazama. Haka kagari huwa nakaona kama Chura tu sura haivutiii.
 
Touché
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…