Nissan patrol(black panther)

Nissan patrol(black panther)

ndo td42 the same engine on y60 patrol.
Hahah kuna mwana anaiuza kama hio td 42 manual kwa pesa ndogo tu,nataka niifanyie makeke niifungie trailer ya 2 tonnes niingie nayo field.

Najua utaipiga madongo haina mbio hahah.
Thubutu ngoma iko moro imepaki inapumzika
Hiyo Kaz Kaz safari popote

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwana kachukua Y62 V8 mwaka huu few months ago akaniomba tupige test drive na kwasababu ananiamini sana akanikabidhi Dar-Moshi jamani kwenye gari za Kijapan hio Nissan V8 ni balaa. Nilipiga ile mashine mpaka nikawa natabasamu siamini kama naendesha Japanese! Wakuu tutafute pesa
 
Kuna mwana kachukua Y62 V8 mwaka huu few months ago akaniomba tupige test drive na kwasababu ananiamini sana akanikabidhi Dar-Moshi jamani kwenye gari za Kijapan hio Nissan V8 ni balaa. Nilipiga ile mashine mpaka nikawa natabasamu siamini kama naendesha Japanese! Wakuu tutafute pesa
Si mchzoo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo gari zina chemsha sans
Nissan Patrol haina ugonjwa wa kuchemsha. Nissan haitaki kuikanyaga sana ikiwa kwenye gia ndogo 1 au 2 (long foot) kwa muda mrefu kabla hujabadili gia nyingine hii inapelekea kuunguza cylinder head gasket na hii wengi vijana tunafanya kufurahia injini inapolalamika.

Gasket ikiwa ina tatizo hizi Nissan itachemsha, ila mpaka umefikia huko hiyo gari ilikuwa inaendeshwa vibaya na madereva wengi.
 
Kuna mwana kachukua Y62 V8 mwaka huu few months ago akaniomba tupige test drive na kwasababu ananiamini sana akanikabidhi Dar-Moshi jamani kwenye gari za Kijapan hio Nissan V8 ni balaa. Nilipiga ile mashine mpaka nikawa natabasamu siamini kama naendesha Japanese! Wakuu tutafute pesa

Hahah mzee baba naona umeendesha gari kibongo bongo tunasema ni 'new model' kabisaa,lile dude hata ukiliangalia kwa nje unahisi tu litakua njema.
 
Nissan Patrol haina ugonjwa wa kuchemsha. Nissan haitaki kuikanyaga sana ikiwa kwenye gia ndogo 1 au 2 (long foot) kwa muda mrefu kabla hujabadili gia nyingine hii inapelekea kuunguza cylinder head gasket na hii wengi vijana tunafanya kufurahia injini inapolalamika.

Gasket ikiwa ina tatizo hizi Nissan itachemsha, ila mpaka umefikia huko hiyo gari ilikuwa inaendeshwa vibaya na madereva wengi.

Safi sana mkuu,hapo wadau wa Nissan watakua wamekusoma ipasavyo.
 
Sauti za gari ninazopenda
BMW X3 3.0i
LR/RR V8
Cruiser V8
Prado 2013- diesel ule mluzi wa Turbo ni mtamu balaa

Engíne za diesel zipo kadhaa kwenye prado za mwaka huo atlist ungegusa kwanzia 2016 hivi ndo zilianza kuja na new engine in town ile ni hatar 1GD
 
Ni kweli lakini mimi bado naamini mtu ufa kwa ahadi, ndio maana ukienda hospital utapata takwimu za wanaokufa kwa malaria, tb, wanaokufa tu gafla, ajali, watoto tu wanazaliwa na kufa. Though you have a point, i can't ignore in anyway.

Kwa hiyo nikikuua ni ahadi hiyo?? Since wamekula tunda lile maisha yetu yako juu yetu yeye anaruhusu vitu vitokee kulingana na ulichofanya
 
Kuna mwana kachukua Y62 V8 mwaka huu few months ago akaniomba tupige test drive na kwasababu ananiamini sana akanikabidhi Dar-Moshi jamani kwenye gari za Kijapan hio Nissan V8 ni balaa. Nilipiga ile mashine mpaka nikawa natabasamu siamini kama naendesha Japanese! Wakuu tutafute pesa
B
Kuna mwana kachukua Y62 V8 mwaka huu few months ago akaniomba tupige test drive na kwasababu ananiamini sana akanikabidhi Dar-Moshi jamani kwenye gari za Kijapan hio Nissan V8 ni balaa. Nilipiga ile mashine mpaka nikawa natabasamu siamini kama naendesha Japanese! Wakuu tutafute pesa
Lile dude ni hatari mzee baba! Super comfortable and well balanced aerodynamics.
Lilikuwa manual diesel au auto petrol? Chuma ina mwendo sana eeh?
 
B

Lile dude ni hatari mzee baba! Super comfortable and well balanced aerodynamics.
Lilikuwa manual diesel au auto petrol? Chuma ina mwendo sana eeh?
Auto petrol I guess ni cc5600 hivi. Mwendo ni balaa several occasions I was hitting 200kph bila kujua. Lina kiu balaa,full tank kama 350,000/- hivi.
Full loaded,gadget kama zote
 
Auto petrol I guess ni cc5600 hivi. Mwendo ni balaa several occasions I was hitting 200kph bila kujua. Lina kiu balaa,full tank kama 350,000/- hivi.
Full loaded,gadget kama zote
Kwa kiu Nissan ni kawaida. Sema very well balanced and comfy kama dege babu! 5.6 ndio lenyewe hilo top end model!
 
B

Lile dude ni hatari mzee baba! Super comfortable and well balanced aerodynamics.
Lilikuwa manual diesel au auto petrol? Chuma ina mwendo sana eeh?
Hizi mashine zote zinatoka na injini ya Petrol hakuna zenye injini ya Diesel.
Hizi zipo chache ukilinganisha na Land Cruiser series 200 V8, mjini bado yanaoneka kwa wachache.
 
Wenye pesa wanafaidi sana
Mzee Lowasa 2015 kwenye kampeni za uraisi alitumia hizi Nissan kama 10 zilikuwa zinamfata anakoenda.

Niliziona zinavyopita njia ya Sumbawanga kwenda Mpanda ile njia kabla haijawekwa lami, zina balaa tulipaki pembeni kuangalia zikipita kibabe.

Licha ya kupiga kazi nzito kipindi like kuna moja naiona anatumia mtoto wake na ikipita lazima watu mgeuke kuangalia mashine.
 
Back
Top Bottom