Kwa usiku naweza kupiga 2hrs flatdah sie wengine wapenzi wa subaru tumeshakuwa machizi juzi nmetoka nayo moro kwenye saa 7 usiku mpka 9;30 nipi nyumbani,mzee alinipa risala zote basi toka juzi nmeipaki nyumbani napanda dala dala maana mzee nilimpigia simu nakuja ndo nmetoka akajua ntafika saa 1 kustuka napiga honi nje kilichofata ni kilio[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1414308
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitokea Moro kwenda wapi mkuu..?dah sie wengine wapenzi wa subaru tumeshakuwa machizi juzi nmetoka nayo moro kwenye saa 7 usiku mpka 9;30 nipi nyumbani,mzee alinipa risala zote basi toka juzi nmeipaki nyumbani napanda dala dala maana mzee nilimpigia simu nakuja ndo nmetoka akajua ntafika saa 1 kustuka napiga honi nje kilichofata ni kilio[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1414308
Sent using Jamii Forums mobile app
7 to 9.30 Kiswahili au kiingereza ni 2.5hrs na kasema 7 usiku hadi Mzee wake kashtuka ni wazi alifika saa tisa na nusu usiku huoUlitokea Moro kwenda wapi mkuu..?
Na hiyo saa 7 ...(ni saa saba kiswahili au saa moja..?)
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeremy wa Top Gear anakwambia:Nice challenge..
Lakini mwisho wa siku vijana tukumbushane mwendo kasi ni sababu moja wapo ya sababu kuu zinazotupeleka kaburini mapema..
they say, if you drive below 100 kph, you are more likely to survive on car accident than driving above 100 kph..
Turudi kwenye mada sasa..
Binafsi nissan patrol nazipenda sana[emoji16][emoji16] regardless speed
Nimeona kupata mkuu....sijamuelewa alitokq Moro kwwnda Dar, au moro kwenda mkoa gani..?7 to 9.30 Kiswahili au kiingereza ni 2.5hrs na kasema 7 usiku hadi Mzee wake kashtuka ni wazi alifika saa tisa na nusu usiku huo
I guess DarNimeona kupata mkuu....sijamuelewa alitokq Moro kwwnda Dar, au moro kwenda mkoa gani..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Saf mzee nguma pole kwa msiba tuko wote group la wafuga mbwaNipo mkuu Nissan kama kawa
Tutafutane mkuu, nishauza y61, kila nikifikiria kubadili nafsi hainipi, kuna jamaa kanitembezea y61 taa ndefu (body imechoka na ndani kumechoka) bei chee kidogo, ila uchawi ni petroli na gearbox ni automatic ndio kanikata maini.Kuna Machimbo ya Nissan
Yawezekana yako ilikuwa imenyooka zaidi ndomana
Ova
Nilikua natafuta LC ila nimebadili mawazo.Nipo na nissan patrol y61 hiki chombo ni nyoko, ni chombo ya kazi..
Yote 9 inaunguruma kiume saana, huwa najikuta naiacha iungurume niisikilizie..
Sasa hivi vyuma vimekaza natamani niiweke sokoni lakini nafsi inanigomea.
Niko njia panda.
Hutojuta mzee baba.Nilikua natafuta LC ila nimebadili mawazo.
Nissan Y61 TD42 is my favorite
Y61 let’s say ya mwaka 2007 TD42 unaweza kupata kwa Mil ngapi?Hutojuta mzee baba.
Civilian na patrol nyingi ni td42 hasa 6clyNapenda gari za Nissan zenye engine ya Diesel. Injini ina mungurumo mzito hadi raha. Ila haifai kwenda kuchukulia mtoto wa geti. Maana ukifika mahali, kila mtu anajua. Napenda zaidi injini za Nissan Civilian. Zile injini zina mungurumo mtamu balaa!
Haziko class moja nissan p td42 mpinzani wake ni toyota lc 1hz japo kwenye mwendo Prado haikamatiki na hao labda yenye injini ya 5L.Popote Unapita na unafika
Kuna mtu ana prado yke kna njia moja tuliongazna naye mpk unamuonea huruma
Ilibidi ageuze kashindwa endelea
Ova
Jamaa yuko sahihi katika kundi lake kasema.Acha utani mkuu
Ila wakisimama na coaster 1hz na civilian td42 coaster anakuwa mbabe kwa kila kitu.Napenda gari za Nissan zenye engine ya Diesel. Injini ina mungurumo mzito hadi raha. Ila haifai kwenda kuchukulia mtoto wa geti. Maana ukifika mahali, kila mtu anajua. Napenda zaidi injini za Nissan Civilian. Zile injini zina mungurumo mtamu balaa!
Ila wakisimama na coaster 1hz na civilian td42 coaster anakuwa mbabe kwa kila kitu.
Huwezi sema Patrol ina makele Civilian haina keleleNapenda gari za Nissan zenye engine ya Diesel. Injini ina mungurumo mzito hadi raha. Ila haifai kwenda kuchukulia mtoto wa geti. Maana ukifika mahali, kila mtu anajua. Napenda zaidi injini za Nissan Civilian. Zile injini zina mungurumo mtamu balaa!