Car4Sale Nissan Patrol inauzwa Milioni 45 tu. Ipo Dar

Car4Sale Nissan Patrol inauzwa Milioni 45 tu. Ipo Dar

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
1. Hali ya Gari: Gari halina shida yoyote, ila halijatembea kwa muda. Ni Nissan Patrol
2. Gari lilipo: Gari lipo Goba Mkoani Dar es Salaam
3. Bei ya Gari: Ni Tsh milioni 45
5. Mawasiliano: Piga simu au tuma Meseji kwenda: 0713208669
IMG-20240403-WA0009.jpg
IMG-20240403-WA0011.jpg
IMG-20240403-WA0012.jpg
IMG-20240403-WA0010.jpg
 
Jamani hiyo ni Nissan bei yake ziko juu tusiibeze ni jambo la mtu kuwasiliana na Muuzaji basi mkaelewana bei yeye kasema mwenye kuiihitaji aombe pungufu mambo ya songe.
 
Gari y Milioni 45 halafu unashindwa kujaza upep0.Hiyo Kula milioni 5 Kama mtu akija maana inavoendelea kukaa hapo Inaliwa na Panya tu...
Bila shaka unatania. Hakuna kitu kizuri kama kuheshimu biashara ya mtu. Acha kukejeli riziki yangu..
 
Back
Top Bottom