Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

Ha ha ha ha ha, acha masihara mkuu [emoji23][emoji23].

Kuna wamiliki wa nissan patrol wengi humu na wenye experience nazo wataleta ushuhuda hapa.

mrangi ni mmoja wao amewahi tumia toleo la nyuma (Y60) kabla ya hiyo anajua shughuli yake.
Atakuwa kwenye mipango ya kutuongezea siku za kuishi kwa furaha(vicheko)
 
Nadhani utakuwa kwenye kufurahisha baraza zaidi..

Nimetumia y61 kwa miaka mingi mnoo, najua unatania tu..

Hizo gari hazikimbii kivile ni mwendo wa kawaida. Siku moja nilkuwa na fortuner jamaa nilimkata kama kasimama zaidi nilisikia makelele tu kama jamaa anavyosema. Kama unabisha chukua hiyo Nissan yako na mm nichukue fortuner tufanye ligi kidgo
 
Hizo gari hazikimbii kivile ni mwendo wa kawaida. Siku moja nilkuwa na fortuner jamaa nilimkata kama kasimama zaidi nilisikia makelele tu kama jamaa anavyosema. Kama unabisha chukua hiyo Nissan yako na mm nichukue fortuner tufanye ligi kidgo
Inaonekana unapenda ligi, haina haja ta kuweka ligi barabarani, tayari ushaweka ligi hapa jf..

1. Nissan patrol nzito kidoogo kuchanganya, sio kwamba ndio haina speed kabisa, nikitembea kufika 120-150 huwa naona mtiti wake(safari za mikoani)

2. Kumkata mtu barabarani, inategemea na udereva wa dereva na dereva n.k n.k.


So kuniambia passo aweke ligi na patrol kwangu ni kichekesho..

Wewe unaetaka tuweke ligi na kluger yako, nenda azam tv pale huwa wanakuwa na kipindi cha mbio za magari, utapata ligi nzuri zaidi.
 
VP kispeed maana naona wajumbe wanaikandia sana wakati wengie ni moja ya gari taraji
Ukilinganisha ni hivi visports car lazima ikalishwe haikutengenezwa kwa shughuli hiyo..

Mimi nilikuwa natumia td 42 diesel engine.. Inacheleewa kidoogo kuchanganya.. Ila ikichanganya si mchezo, gari inatembea hii, halafu unahisi unanesa nesa tu mama ma mae... , so km utaipata ya petrol inaweza ikawa nzuri zaidi ya hii diesel katika kuchanganya..

Chukua mzigo, hutajuta.
 
Ukilinganisha ni hivi visports car lazima ikalishwe haikutengenezwa kwa shughuli hiyo..

Mimi nilikuwa natumia td 42 diesel engine.. Inacheleewa kidoogo kuchanganya.. Ila ikichanganya si mchezo, gari inatembea hii, halafu unahisi unanesa nesa tu mama ma mae... , so km utaipata ya petrol inaweza ikawa nzuri zaidi ya hii diesel katika kuchanganya..

Chukua mzigo, hutajuta.
Hamna kitu wewe, unavosifia sijui mjomba wako analo basi unalipandaga jumapili!!
Gari lina makelele sana mwendo wa kobe. Kila mtu anasema/anajua hivo except wewe tu!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hamna kitu wewe, unavosifia sijui mjomba wako analo basi unalipandaga jumapili!!
Gari lina makelele sana mwendo wa kobe. Kila mtu anasema/anajua hivo except wewe tu!

Niambie linachelewa kuchanganya, nakuelewa, sio kusema halina speed, yaani nitembee 160km/hr halafu bado lijikongoje kama kobe, sasa si vituko vya abunuwasi hii..


We unataka kuleta porojo, mie nimelimiliki kwa miaka kadhaa.. Nishaenda nalo trip za mkoani hazina idadi maalum..

Haya wewe unaemiliki la kwako, na kudai halina mwendo, tupe uzoefu
 
Niambie linachelewa kuchanganya, nakuelewa, sio kusema halina speed, yaani nitembee 160km/hr halafu bado lijikongoje kama kobe, sasa si vituko vya abunuwasi hii..


We unataka kuleta porojo, mie nimelimiliki kwa miaka kadhaa.. Nishaenda nalo trip za mkoani hazina idadi maalum..

Haya wewe unaemiliki la kwako, na kudai halina mwendo, tupe uzoefu

Hajui magari huyo
 
Hamna kitu wewe, unavosifia sijui mjomba wako analo basi unalipandaga jumapili!!
Gari lina makelele sana mwendo wa kobe. Kila mtu anasema/anajua hivo except wewe tu!
Unaijua vizuri Nissan Patrol ikishakaa kwenye njia yake wewe?, Kwanza dude linakuwa 160km/HR halafu limetulia na mineso tu.
 
Back
Top Bottom