Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,273 Reaction score 13,567 Oct 19, 2018 #21 Hata kule kwa wachaga wanapenda pick up lakini hiyo bei yako kamwe hawawezi nunua. Ukifanikiwa kuuza hata kwa 14m,njoo uchukue 2m unywe bia na nyama choma,malaya ukitaka nitakupa laki 5 ya kuhonga na kununua kondomu.
Hata kule kwa wachaga wanapenda pick up lakini hiyo bei yako kamwe hawawezi nunua. Ukifanikiwa kuuza hata kwa 14m,njoo uchukue 2m unywe bia na nyama choma,malaya ukitaka nitakupa laki 5 ya kuhonga na kununua kondomu.
Abuu Kauthar JF-Expert Member Joined Jul 10, 2011 Posts 4,296 Reaction score 6,492 Oct 19, 2018 #22 DeepPond said: Hii itakua gari ya Mirathi. Mtoa mada atakua kadanganywa na wanafamilia kuhusu bei halisi ya hiyo gari. Hiyo gari haiwez kuuzwa Mil.30 Brand New(registered & fully paid) inapatikana yard kwa Mil.24. Sembuse hiyo used &Namba A! Click to expand... Ndugu brand new gan hiyo inauzwa mil 24?
DeepPond said: Hii itakua gari ya Mirathi. Mtoa mada atakua kadanganywa na wanafamilia kuhusu bei halisi ya hiyo gari. Hiyo gari haiwez kuuzwa Mil.30 Brand New(registered & fully paid) inapatikana yard kwa Mil.24. Sembuse hiyo used &Namba A! Click to expand... Ndugu brand new gan hiyo inauzwa mil 24?
Joowzey JF-Expert Member Joined Nov 13, 2015 Posts 13,166 Reaction score 13,514 Oct 19, 2018 #23 Huu mkebe ndio unauza 30m?
D dagii JF-Expert Member Joined Dec 23, 2013 Posts 4,961 Reaction score 3,752 Oct 19, 2018 #24 Toa takataka humu,m30 ?