Nissan X Trail aka Kimeo

Range rover majanga
 
Utakuta mtu mwenyewe hata toroli huna!

Ikiwa hana hata toroli kuna tatizo gani??
Anaweza akawa ni fundi, ila anaweza akawa ana ujuzi pia kwa namna nyingine kama vile dereva, n.k Ujuzi wake ndo muhimu hapa kwenye kutoa ushauri, na muhimu asiwe anaongea kwa kusikia tu bila hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…