tanzania asilimia kubwa ya mafundi wa nisani hawapo sawa na mafundi simu wa kariakoo na mikoani.
nisani inamfumo mwingi wa umeme na teknolojia ambayo ni ngeni kwa mafundi na hawa taki kusema ukweli ndio maana mafundi wanasingizia ni kimeo.
jiulize kwa nini range inamafundi wa kuhesabu na sio wakuokota kama toyota