Dashboard yake sikuipenda....kama trekta bana
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani sugu, vipi upatikanaji wa spare parts na gharama za spare parts muungwana yeyote kama anajua hizi gari pls naomba nijue ili nisiingie mkenge, pesa yenyewe nimepata kwa manati sana loh.
Nataka kuagiza japan ni ya mwaka 2001 kwa kiasi cha dola elfu sita (6) CIF Dar es salaam mkuu.
Huu ni msimu wa kilimo kwanza , ulizia bei ya matrekta ntakwambia hapa India ni kiasi gani.
Nunua hiyo Gari !!!
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani sugu, vipi upatikanaji wa spare parts na gharama za spare parts muungwana yeyote kama anajua hizi gari pls naomba nijue ili nisiingie mkenge, pesa yenyewe nimepata kwa manati sana loh.