Nissan x trail mwenye uzoefu nazo msaada

Nissan x trail mwenye uzoefu nazo msaada

Nina rafiki yangu nikiwa huko bongo aliwahi kuipaki hiyo gari mwaka mzima kwakuwa Control box ilikufa, hata sijui amefikia wapi, kikubwa ni kwamba spareparts availability ya hiyo gari ndio issue kwa hiyo mzee kama ni gari yako ya kwanza, mmh...fikiria mara mbili, lakini kam vijisenti vimekutembelea na una uhakika vitaendelea kukutembelea, aaah, kula kitu roho inapenda. Ni hayo tu mkuu Gamaha.

Kwa 12M anunue gari gani nzuri ambayo haitakuwa na matatizo.
 
he he nimegundua mkuu kumbe ni pressure loh sijui physikia ilipotelea wapi any way niambie basi angalau kasababu why nife na force over area

Loh ndio lol au nikitu ingine?.... just curious..
 
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani sugu, vipi upatikanaji wa spare parts na gharama za spare parts muungwana yeyote kama anajua hizi gari pls naomba nijue ili nisiingie mkenge, pesa yenyewe nimepata kwa manati sana loh.

Mkubwa mimi sina experience na x-trial, lakini ningekushauri kabla huja agiza huo mchuma, ungeangalia altenatives nyingine kama LAND ROVER FREELANDER 2, au hata model ya zamani, hii ni cheap, spacious and fuel efficient if compared to Nissan x-trail,especially if u r buying a used car from UK.
Nimtizamo tu kaka, all the best for ur dream car!
 
Mkubwa mimi sina experience na x-trial, lakini ningekushauri kabla huja agiza huo mchuma, ungeangalia altenatives nyingine kama LAND ROVER FREELANDER 2, au hata model ya zamani, hii ni cheap, spacious and fuel efficient if compared to Nissan x-trail,especially if u r buying a used car from UK.
Nimtizamo tu kaka, all the best for ur dream car!

Cylinder head gasket ni moja ya matatizo common kabisa katika haya magari ya Freelander and besides hiyo ishu ya fuel efficiency sio nzuri kama X-Trail. For what its worth, hakuna gari zuri ambalo ni rahisi. Kama likiharibika ukataka kucut corners then yatakutokea puani, wewe fumba macho ukubali gharama na utengeneze gari ipasavyo na litadumu barabarani.

The only thing I dislike about the X-Trail ni ile ya Centre Console (i.e speedometer, tachometer etc.) kuwa katikati badala ya kwa upande wa dereva but hivi ni vitu kidogo na kama mtu unalipenda gari isiwe ni kigezo cha wewe kutolinunua.

Kwa wale waliosema kwamba X-Trail ni zuri off road, I think you are seriously off the mark there. X-Trail ni same class kama Rav4, CR-Vs na Freelanders in that they are Mini SUV NOT suited for the rough stuff.

Kwa ushauri wangu tafuta Landrover Discovery 200 series, ya diesel (2499cc)ambayo I am sure itakuwa ndani ya budget yako maana bei hazitofautiani sana na X-Trail.
 
issue ya Genuine spare Tanzania ni balaa, hata kama gari ni Toyota ukifika pale madukani watakupa class kama nne za spare ya aina moja na mwisho wa siku hata hiyo waliyokwambia ni bora inakuja kukuumiza,
gari ni matunzo tu mtu wangu, unacontrol maji, oil, temp na service ndogo ndogo ya kila mwezi
 
Mie kila nikiicheck hii gari huwa naona kama vile inaendeshwa kwa "remote", manake walivyoweka hiyo dashbord utadhani iliwa stragegically ili iweze kupokea mionzi vyema bila kujali kuwa umekaa siti ya nyuma au ya mbele.

Ila model mpya sasa dashbord imekaa poa, taabu ni kama ujuavyo tena tunajinafasi kwa used tu!
hata ukitaka mpya zipo zinapatikana! ni pesa yako tu! bongo sisi ni jalala la kutupia 'mikweche'
 
Mimi nakushauri kama unaweza chukua landrover freelander lakini iwe ya kawaida tu kuna mdau amesema hapo juu agizia landrover freelander 2 nadhani hiyo bei yake huiwezi ni hela nyingi kidogo kwa sababu ndio zimetoka nadhani..ila freelabder ni nzuri sana na imara pia.............
 
Waungwana heshima mbele kwa wote, Jamani mwenzenu nimepata vihela kidogo nataka kuagiza gari angalau ninayo ipenda, napenda sana nissan x trail lkn sijui kuhusu hizi gari je zina matatizo gani sugu, vipi upatikanaji wa spare parts na gharama za spare parts muungwana yeyote kama anajua hizi gari pls naomba nijue ili nisiingie mkenge, pesa yenyewe nimepata kwa manati sana loh.

Nunua 'Kabajaji', kwa Bongo na hiyo foleni itakusaidia sana. (Joke)

Siyo mzuri sana katika anga hii (Magari), japo ningekushauri ununue Toyota's (Prado, FJ Crusser, Rav4, Sequoia etc etc). Reason behind ni fuel consumption na spare parts. Halafu kwa Bongo hata Gereji bubu zinatengenezeka.

Nissan ni gari nzuri na expensive in almost kila idara kuanzia fuel consuption, spare parts etc etc. sasa kama hela yako ya manani nafikiri Nissan itakusumbua.

Good luck.
 
Nunua 'Kabajaji', kwa Bongo na hiyo foleni itakusaidia sana. (Joke)

Siyo mzuri sana katika anga hii (Magari), japo ningekushauri ununue Toyota's (Prado, FJ Crusser, Rav4, Sequoia etc etc). Reason behind ni fuel consumption na spare parts. Halafu kwa Bongo hata Gereji bubu zinatengenezeka.

Nissan ni gari nzuri na expensive in almost kila idara kuanzia fuel consuption, spare parts etc etc. sasa kama hela yako ya manani nafikiri Nissan itakusumbua.

Good luck.

FJ chuma tupu, kama anaiweza bei yake!.........!
 
Back
Top Bottom