Nissan x trail mwenye uzoefu nazo msaada


Kwa 12M anunue gari gani nzuri ambayo haitakuwa na matatizo.
 
he he nimegundua mkuu kumbe ni pressure loh sijui physikia ilipotelea wapi any way niambie basi angalau kasababu why nife na force over area

Loh ndio lol au nikitu ingine?.... just curious..
 

Mkubwa mimi sina experience na x-trial, lakini ningekushauri kabla huja agiza huo mchuma, ungeangalia altenatives nyingine kama LAND ROVER FREELANDER 2, au hata model ya zamani, hii ni cheap, spacious and fuel efficient if compared to Nissan x-trail,especially if u r buying a used car from UK.
Nimtizamo tu kaka, all the best for ur dream car!
 

Cylinder head gasket ni moja ya matatizo common kabisa katika haya magari ya Freelander and besides hiyo ishu ya fuel efficiency sio nzuri kama X-Trail. For what its worth, hakuna gari zuri ambalo ni rahisi. Kama likiharibika ukataka kucut corners then yatakutokea puani, wewe fumba macho ukubali gharama na utengeneze gari ipasavyo na litadumu barabarani.

The only thing I dislike about the X-Trail ni ile ya Centre Console (i.e speedometer, tachometer etc.) kuwa katikati badala ya kwa upande wa dereva but hivi ni vitu kidogo na kama mtu unalipenda gari isiwe ni kigezo cha wewe kutolinunua.

Kwa wale waliosema kwamba X-Trail ni zuri off road, I think you are seriously off the mark there. X-Trail ni same class kama Rav4, CR-Vs na Freelanders in that they are Mini SUV NOT suited for the rough stuff.

Kwa ushauri wangu tafuta Landrover Discovery 200 series, ya diesel (2499cc)ambayo I am sure itakuwa ndani ya budget yako maana bei hazitofautiani sana na X-Trail.
 
issue ya Genuine spare Tanzania ni balaa, hata kama gari ni Toyota ukifika pale madukani watakupa class kama nne za spare ya aina moja na mwisho wa siku hata hiyo waliyokwambia ni bora inakuja kukuumiza,
gari ni matunzo tu mtu wangu, unacontrol maji, oil, temp na service ndogo ndogo ya kila mwezi
 
hata ukitaka mpya zipo zinapatikana! ni pesa yako tu! bongo sisi ni jalala la kutupia 'mikweche'
 
Mimi nakushauri kama unaweza chukua landrover freelander lakini iwe ya kawaida tu kuna mdau amesema hapo juu agizia landrover freelander 2 nadhani hiyo bei yake huiwezi ni hela nyingi kidogo kwa sababu ndio zimetoka nadhani..ila freelabder ni nzuri sana na imara pia.............
 

Nunua 'Kabajaji', kwa Bongo na hiyo foleni itakusaidia sana. (Joke)

Siyo mzuri sana katika anga hii (Magari), japo ningekushauri ununue Toyota's (Prado, FJ Crusser, Rav4, Sequoia etc etc). Reason behind ni fuel consumption na spare parts. Halafu kwa Bongo hata Gereji bubu zinatengenezeka.

Nissan ni gari nzuri na expensive in almost kila idara kuanzia fuel consuption, spare parts etc etc. sasa kama hela yako ya manani nafikiri Nissan itakusumbua.

Good luck.
 

FJ chuma tupu, kama anaiweza bei yake!.........!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…