Nissan X- Trail NT31

MissM4C

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,740
Reaction score
1,005
Nilikuwa naendesha kila mara inafika stage gari inadecelerates na kuzimika, ukiwasha inawaka unakimbia kidogo inazimika, nimefanya hivo mara nyingi mpaka nikafika safari ya km 45, fuel ilikuwa subtank je shida inaweza kuwa nini?
 
Pole sana, watakuja soon wenye ujuvi na hizi gari.

Aidha, kama sikosei ulifanya chaguzi ya kluger (niliwahi kuona uzi wako) ila baadae ukaja kubadilisha nadhani.

Kulingana na namna ulivyokua ukielezea hapo awali, seems like hii gari bado mpya hapa nchini sidhani kama ina miezi hata 6.

Naomba niwakumbushe kwamba, usipokua na weledi wa kutosha kwenye masuala ya uagizaji wa magari, baadhi ya makampuni huko japan, hua wanaweza kukubambikia hata gari ambalo halina ubora wa uhakika.

I am very sure that, gari yako waliiegesha tu ilimradi ifike.

Again, pole kwa changamoto.
 
Nilikuwa naendesha kila mara inafika stage gari inadecelerates na kuzimika , ukiwasha inawaka unakimbia kidogo inazimika, nimefanya hivo mara nyingi mpaka nikafika safari ya km 45, fuel ilikuwa subtank je shida inaweza kuwa nini?
Engine Stall inaweza kusababishwa na vitu vingi. Vingine ni vya engine vingine ni vya Transmission.

Nenda kapime.
 
Intank electric fuel pump ya Nissan nyingi hicho kikisumbua kinashindwa kupandisha mafuta kutoka kwenye tank na kinatumia umeme huku hata akiuzwi bei na karibu Nissan nyingi zinaingiliana sema bongo hawachelewi kufungua engine na kucheki plug sijui Celinder Head...ila anza kwa kupima lakini ni mfumo wa pump ya mafuta kutoka kwenye tank.

Kuna muda hiyo pump ikiweza kusukuma mafuta mengi gari inakua na nguvu na baadae inapungua au kuzima kabisa kutokana na kukosa msukumo wa mafuta hapa Jhb hata nusu saa kubwa unaondoka na gari yako...inatolewa seat za abiria ndio kilipo hicho kifaa juu ya tank nyingi zinakua chafu au kimekufa ukiweka kipya utasahau...
 
Thank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…