madabadaba
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 288
- 178
Heshima kwenu wakuu.
Niko na shida sana nahitaji msaada wenu hili gari lina mauza uza balaa.
Nikiwa njiani kuelekea kazini nilistukia ghafula gari linaunguruma tu nikikanyaga moto linaunguruma tu hata halitembei, hivi sasa nimelipaki kwa kulisukuma pembeni mwa barabara nikisaidiwa na wasamaria wema.
Hii ni Mara ya nne hili gari kufanya hivi safarini na kila Mara lilipofanya hivi lilirudi ktk hali ya kawaida bila ya kufanyiwa matengenezo maana hata fundi wangu huchemka kwa kutobaini chanzo cha tatizo.
Walio na ujuzi naombeni ushauri wenu nini tatizo la hii nissan xtrail maana fundi wangu hajabaini chochote.
Nawasilisha.
Niko na shida sana nahitaji msaada wenu hili gari lina mauza uza balaa.
Nikiwa njiani kuelekea kazini nilistukia ghafula gari linaunguruma tu nikikanyaga moto linaunguruma tu hata halitembei, hivi sasa nimelipaki kwa kulisukuma pembeni mwa barabara nikisaidiwa na wasamaria wema.
Hii ni Mara ya nne hili gari kufanya hivi safarini na kila Mara lilipofanya hivi lilirudi ktk hali ya kawaida bila ya kufanyiwa matengenezo maana hata fundi wangu huchemka kwa kutobaini chanzo cha tatizo.
Walio na ujuzi naombeni ushauri wenu nini tatizo la hii nissan xtrail maana fundi wangu hajabaini chochote.
Nawasilisha.