Nissan xtrail inatumia mafuta kiasi gani kwa uzoefu wako

Nissan xtrail inatumia mafuta kiasi gani kwa uzoefu wako

Joined
Sep 3, 2011
Posts
48
Reaction score
17
Nahitaji kununua xtrail 2003 yenye engine ya SR20VET,

Nanunua modeli yenye engine ya SR20 kwa sababu engine hiyo inasifika kwa uimara duniani kote na ni nyepesi kwa mafundi kuirekebisha endapo ikisumbua.

Kwa wale waliowahi kumiliki xtraili hasa ile yenye engine ya 2.0L au cc 2,000 naombeni mnipe uzoefu wenu. Hii gari inakunywaje mafuta ? Binafsi Ningependelea nipate angalau 11km/L au nitembee kilometer 11 kwa kila Lita moja.
 
Nahitaji kununua xtrail 2003 yenye engine ya SR20VET,

Nanunua modeli yenye engine ya SR20 kwa sababu engine hiyo inasifika kwa uimara duniani kote na ni nyepesi kwa mafundi kuirekebisha endapo ikisumbua.

Kwa wale waliowahi kumiliki xtraili hasa ile yenye engine ya 2.0L au cc 2,000 naombeni mnipe uzoefu wenu. Hii gari inakunywaje mafuta ? Binafsi Ningependelea nipate angalau 11km/L au nitembee kilometer 11 kwa kila Lita moja.
Hakuna xtrail ya kupata km hizo, nying ni 8- 9 kwa wastani, na ni reliable kuliko rav 4, au compact suv zingine. Kikubwa ni matunzo ambayo ni service kwa wakti, usafi, na hakikisha hutembelei kidebe hayo tu.
 
Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.

Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.
 
Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.

Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.
Embu tupe ufafanuzi mpana.
Kwanini hiyo gari ni pasua kichwa?
 
Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.

Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.
Mafundi ndiyo wanafanya haya magari yachukiwe.

Kwa sababu hawajajui, wanaguess ubovu wa gari na kumnunulisha mwenye gari maspea mpaka anachukia.

Tatizo ni mafundi.
 
Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.

Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.
Mtaalamu wako ni muongo. Nissan zote, iwe Murano, Civilian, Rasheen Patrol, March, Condor ama Safari hazitaki service za mwembeni za kiubabaishaji. Mafundi wetu si wazoefu wa magari haya. Nissan wana oil zao na hydraulic fluid za gearbox special kwa magari yao. Ukitumia oil za multipurpose kama zinazotumika kwa magari ya toyota (dumu la lita 4 linauzwa shilingi elfu 28 mpaka 30) lazima gari ikuzingue na utaichukia. Hydrauloc fluid ya Nissan kwa kariakoo inaanzia 120,000/- kwa dumu la lita 4. Pili, nissan hawana spea nyingi feki. Hii ina maana spea zao sokoni ni ghali kwa kuwa no genuine, ndio sababu watu wanasema ni pasua kichwa. Lakini vinginevyo nissan ni gari ya kumiliki kama huna pesa za mawazo!
 
Mtaalamu wako ni muongo. Nissan zote, iwe Murano, Civilian, Rasheen Patrol, March, Condor ama Safari hazitaki service za mwembeni za kiubabaishaji. Mafundi wetu si wazoefu wa magari haya. Nissan wana oil zao na hydraulic fluid za gearbox special kwa magari yao. Ukitumia oil za multipurpose kama zinazotumika kwa magari ya toyota (dumu la lita 4 linauzwa shilingi elfu 28 mpaka 30) lazima gari ikuzingue na utaichukia. Hydrauloc fluid ya Nissan kwa kariakoo inaanzia 120,000/- kwa dumu la lita 4. Pili, nissan hawana spea nyingi feki. Hii ina maana spea zao sokoni ni ghali kwa kuwa no genuine, ndio sababu watu wanasema ni pasua kichwa. Lakini vinginevyo nissan ni gari ya kumiliki kama huna pesa za mawazo!
Hilo nalo neno[emoji3]
 
Hii gari haina shida yoyote, shida ni mafundi wetu wa gonga nyundo wasioenda na teknolojia, wameshakariri Toyota
Nenda gereji za wachina uone wanavoiunda.
 
Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.

Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.

Anauliza ulaji wa mafuta wewe unajibu hataweza kuiuza!!!

Kifupi ni kuwa, hakuna gari mbovu au pasua kichwa. Shida ni kununua gari kisha mtu hufuati masharti ya utunzaji (maintenance) ya hilo gari. Na ugonjwa huu umeletwa na waliozoea Toyota maana fake spares nyingi na cheap. Sasa ukihamishia mazoea hayo kwa Nissan lazima uone ni “mbovu” au “pasua kichwa”.

Nissan ni gari imara na zinavumilia sana ubovu wa barabara zetu. Ila peleka service kwa mafundi wenye ujuzi na vifaa. Tumia oil genuine ambayo ni obvious haitakuwa cheap. Weka spare kwa wakati. Kama kuna part inahitaji replacement, “usivute muda” kwa vile iliyopo bado “ina nguvu”. Wrong!

Mwisho epuka “cheap” stuff.

Kwa ulaji wa mafuta wastani ni 8KM/L highway na 7KM/L urban tarmac road, 6KM/L rough road.
 
Nunua gari kutokana na kipato chako. Acha tamaa zitakua. Nissan ni gari nzuri kwa watu wasio na mawazo ya mkwamo kiuchumi
 
Nahitaji kununua xtrail 2003 yenye engine ya SR20VET,

Nanunua modeli yenye engine ya SR20 kwa sababu engine hiyo inasifika kwa uimara duniani kote na ni nyepesi kwa mafundi kuirekebisha endapo ikisumbua.

Kwa wale waliowahi kumiliki xtraili hasa ile yenye engine ya 2.0L au cc 2,000 naombeni mnipe uzoefu wenu. Hii gari inakunywaje mafuta ? Binafsi Ningependelea nipate angalau 11km/L au nitembee kilometer 11 kwa kila Lita moja.
Mkuu sikiliza nikupe fact kidogo juu ya xtrail as namiliki hili gari huu mwaka wa nne na niliitoa japan, itapendeza kama mtu ambaye hajawahi kumiliki gari za nissan au hata kuendesha gari ya above 1500cc aache ku comment as you have no idea rather mnapotosha.

Kwanza niseme wazi gari za nissan as for Benz BMW range etc hazihitaji mtu mwenye kipato cha mawazo au anayetegemea kuuza baada ya siku chache.This is about purchasingbpower and affordability.

Gari hizi hazihitaji mafundi wa kuunga unga na spea za kufananisha au kufitishia rather genuine spare parts.

Mfano extrail uliyotaja inatumia gear box oil ya fuild matic J ambayo lita moja inauzwa 50,000 ipo kisangani auto ,master cad auto wako msimbazi dar au authorised dealers wa nissan na gari hiyo itahitaji lita 4.

Engine oil inaweza kuwa synthetic au ya kawaida mfano BP standard lita 5 inafika hadi 55,000 ila unatumia lita 4.

Brake.pads mfano zile genuine za mbele ni 220,000.

Hio ni baadhi ya mifano tu ila my point is hizi gari zisizotaka mafundi kanjanja na spea za magumashi.

Juu ya fuel consumption hiyo yako ya 2003 unaweza kwenda hadi 1l/11km with full ac..mimi iko hivyo as ni la.muda na all the time natumia ac hata iwe arusha.

Well,ni gar za kueleweka ila waliozoea vitz starlet etc na ambao wana limited understanding plus kipato cha mawazo watakuambia ni ndoa ya kikristo.

Just ishi ndoto zako as far as you can afford.

Karibu kwenye team ya xtrail!
 
Mkuu sikiliza nikupe fact kidogo juu ya xtrail as namiliki hili gari huu mwaka wa nne na niliitoa japan, itapendeza kama mtu ambaye hajawahi kumiliki gari za nissan au hata kuendesha gari ya above 1500cc aache ku comment as you have no idea rather mnapotosha.

Kwanza niseme wazi gari za nissan as for Benz BMW range etc hazihitaji mtu mwenye kipato cha mawazo au anayetegemea kuuza baada ya siku chache.This is about purchasingbpower and affordability.

Gari hizi hazihitaji mafundi wa kuunga unga na spea za kufananisha au kufitishia rather genuine spare parts.

Mfano extrail uliyotaja inatumia gear box oil ya fuild matic J ambayo lita moja inauzwa 50,000 ipo kisangani auto ,master cad auto wako msimbazi dar au authorised dealers wa nissan na gari hiyo itahitaji lita 4.

Engine oil inaweza kuwa synthetic au ya kawaida mfano BP standard lita 5 inafika hadi 55,000 ila unatumia lita 4.

Brake.pads mfano zile genuine za mbele ni 220,000.

Hio ni baadhi ya mifano tu ila my point is hizi gari zisizotaka mafundi kanjanja na spea za magumashi.

Juu ya fuel consumption hiyo yako ya 2003 unaweza kwenda hadi 1l/11km with full ac..mimi iko hivyo as ni la.muda na all the time natumia ac hata iwe arusha.

Well,ni gar za kueleweka ila waliozoea vitz starlet etc na ambao wana limited understanding plus kipato cha mawazo watakuambia ni ndoa ya kikristo.

Just ishi ndoto zako as far as you can afford.

Karibu kwenye team ya xtrail!
hakika!!
 
Mkuu sikiliza nikupe fact kidogo juu ya xtrail as namiliki hili gari huu mwaka wa nne na niliitoa japan, itapendeza kama mtu ambaye hajawahi kumiliki gari za nissan au hata kuendesha gari ya above 1500cc aache ku comment as you have no idea rather mnapotosha.

Kwanza niseme wazi gari za nissan as for Benz BMW range etc hazihitaji mtu mwenye kipato cha mawazo au anayetegemea kuuza baada ya siku chache.This is about purchasingbpower and affordability.

Gari hizi hazihitaji mafundi wa kuunga unga na spea za kufananisha au kufitishia rather genuine spare parts.

Mfano extrail uliyotaja inatumia gear box oil ya fuild matic J ambayo lita moja inauzwa 50,000 ipo kisangani auto ,master cad auto wako msimbazi dar au authorised dealers wa nissan na gari hiyo itahitaji lita 4.

Engine oil inaweza kuwa synthetic au ya kawaida mfano BP standard lita 5 inafika hadi 55,000 ila unatumia lita 4.

Brake.pads mfano zile genuine za mbele ni 220,000.

Hio ni baadhi ya mifano tu ila my point is hizi gari zisizotaka mafundi kanjanja na spea za magumashi.

Juu ya fuel consumption hiyo yako ya 2003 unaweza kwenda hadi 1l/11km with full ac..mimi iko hivyo as ni la.muda na all the time natumia ac hata iwe arusha.

Well,ni gar za kueleweka ila waliozoea vitz starlet etc na ambao wana limited understanding plus kipato cha mawazo watakuambia ni ndoa ya kikristo.

Just ishi ndoto zako as far as you can afford.

Karibu kwenye team ya xtrail!

Umefafanua vizuri sanaa. Naomba kujua hiyo engine oil inachukua kilometer ngapi kubadili ukiweza tupe na kilometer za transmission fluid.

shukrani.
 
Mkuu sikiliza nikupe fact kidogo juu ya xtrail as namiliki hili gari huu mwaka wa nne na niliitoa japan, itapendeza kama mtu ambaye hajawahi kumiliki gari za nissan au hata kuendesha gari ya above 1500cc aache ku comment as you have no idea rather mnapotosha.

Kwanza niseme wazi gari za nissan as for Benz BMW range etc hazihitaji mtu mwenye kipato cha mawazo au anayetegemea kuuza baada ya siku chache.This is about purchasingbpower and affordability.

Gari hizi hazihitaji mafundi wa kuunga unga na spea za kufananisha au kufitishia rather genuine spare parts.

Mfano extrail uliyotaja inatumia gear box oil ya fuild matic J ambayo lita moja inauzwa 50,000 ipo kisangani auto ,master cad auto wako msimbazi dar au authorised dealers wa nissan na gari hiyo itahitaji lita 4.

Engine oil inaweza kuwa synthetic au ya kawaida mfano BP standard lita 5 inafika hadi 55,000 ila unatumia lita 4.

Brake.pads mfano zile genuine za mbele ni 220,000.

Hio ni baadhi ya mifano tu ila my point is hizi gari zisizotaka mafundi kanjanja na spea za magumashi.

Juu ya fuel consumption hiyo yako ya 2003 unaweza kwenda hadi 1l/11km with full ac..mimi iko hivyo as ni la.muda na all the time natumia ac hata iwe arusha.

Well,ni gar za kueleweka ila waliozoea vitz starlet etc na ambao wana limited understanding plus kipato cha mawazo watakuambia ni ndoa ya kikristo.

Just ishi ndoto zako as far as you can afford.

Karibu kwenye team ya xtrail!
Mkuu hebu ni connect na fundi mzuri wa hizi gari kama yupo unaemfahamu
 
Back
Top Bottom