Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Engine oil mara nyingi ni km 3000 hiyo bp standard ..ila ukinunua pure synthentic kuna za mpaka km 10000Umefafanua vizuri sanaa. Naomba kujua hiyo engine oil inachukua kilometer ngapi kubadili ukiweza tupe na kilometer za transmission fluid.
shukrani.
Pale opposite ITV kuna jamaa mtaalamu...hata humu ushawahi kutajwa..pia waweza kwenda iliyokuwa DT dobie..au Nduvini auto worksMkuu hebu ni connect na fundi mzuri wa hizi gari kama yupo unaemfahamu
Xtrail yangu inakula sana mafuta natamani kuuza.
Kwani n lazma kuuza gari?Kwa taarifa nilizonazo toka kwa mtaalam wa magari ni kuwa hiyo gari ni pasua kichwa.
Ukiinunua huwez iuza in case of anything,labda uiuze kwa hasara.
Hiyo hydraulic fluid kumbe nimepigwa?....asee!Mtaalamu wako ni muongo. Nissan zote, iwe Murano, Civilian, Rasheen Patrol, March, Condor ama Safari hazitaki service za mwembeni za kiubabaishaji. Mafundi wetu si wazoefu wa magari haya. Nissan wana oil zao na hydraulic fluid za gearbox special kwa magari yao. Ukitumia oil za multipurpose kama zinazotumika kwa magari ya toyota (dumu la lita 4 linauzwa shilingi elfu 28 mpaka 30) lazima gari ikuzingue na utaichukia. Hydrauloc fluid ya Nissan kwa kariakoo inaanzia 120,000/- kwa dumu la lita 4. Pili, nissan hawana spea nyingi feki. Hii ina maana spea zao sokoni ni ghali kwa kuwa no genuine, ndio sababu watu wanasema ni pasua kichwa. Lakini vinginevyo nissan ni gari ya kumiliki kama huna pesa za mawazo!
Hiyo replacement ya spare kwa muda muafaka ndo wabongo wengi tunazingua!Anauliza ulaji wa mafuta wewe unajibu hataweza kuiuza!!!
Kifupi ni kuwa, hakuna gari mbovu au pasua kichwa. Shida ni kununua gari kisha mtu hufuati masharti ya utunzaji (maintenance) ya hilo gari. Na ugonjwa huu umeletwa na waliozoea Toyota maana fake spares nyingi na cheap. Sasa ukihamishia mazoea hayo kwa Nissan lazima uone ni “mbovu” au “pasua kichwa”.
Nissan ni gari imara na zinavumilia sana ubovu wa barabara zetu. Ila peleka service kwa mafundi wenye ujuzi na vifaa. Tumia oil genuine ambayo ni obvious haitakuwa cheap. Weka spare kwa wakati. Kama kuna part inahitaji replacement, “usivute muda” kwa vile iliyopo bado “ina nguvu”. Wrong!
Mwisho epuka “cheap” stuff.
Kwa ulaji wa mafuta wastani ni 8KM/L highway na 7KM/L urban tarmac road, 6KM/L rough road.
Umemaliza chief[emoji122] [emoji122] [emoji122]Mkuu sikiliza nikupe fact kidogo juu ya xtrail as namiliki hili gari huu mwaka wa nne na niliitoa japan, itapendeza kama mtu ambaye hajawahi kumiliki gari za nissan au hata kuendesha gari ya above 1500cc aache ku comment as you have no idea rather mnapotosha.
Kwanza niseme wazi gari za nissan as for Benz BMW range etc hazihitaji mtu mwenye kipato cha mawazo au anayetegemea kuuza baada ya siku chache.This is about purchasingbpower and affordability.
Gari hizi hazihitaji mafundi wa kuunga unga na spea za kufananisha au kufitishia rather genuine spare parts.
Mfano extrail uliyotaja inatumia gear box oil ya fuild matic J ambayo lita moja inauzwa 50,000 ipo kisangani auto ,master cad auto wako msimbazi dar au authorised dealers wa nissan na gari hiyo itahitaji lita 4.
Engine oil inaweza kuwa synthetic au ya kawaida mfano BP standard lita 5 inafika hadi 55,000 ila unatumia lita 4.
Brake.pads mfano zile genuine za mbele ni 220,000.
Hio ni baadhi ya mifano tu ila my point is hizi gari zisizotaka mafundi kanjanja na spea za magumashi.
Juu ya fuel consumption hiyo yako ya 2003 unaweza kwenda hadi 1l/11km with full ac..mimi iko hivyo as ni la.muda na all the time natumia ac hata iwe arusha.
Well,ni gar za kueleweka ila waliozoea vitz starlet etc na ambao wana limited understanding plus kipato cha mawazo watakuambia ni ndoa ya kikristo.
Just ishi ndoto zako as far as you can afford.
Karibu kwenye team ya xtrail!
Jamaa anaitwa nani na namba ake plse kama hautajali!Pale opposite ITV kuna jamaa mtaalamu...hata humu ushawahi kutajwa..pia waweza kwenda iliyokuwa DT dobie..au Nduvini auto works
Witty unamiliki mkoko wa Nissan nini bestie!Jamaa anaitwa nani na namba ake plse kama hautajali!
Haaahaaa....hapana mkuu!Witty unamiliki mkoko wa Nissan nini bestie!
Mimi ninatumia Extrail ya 2005, cc 1900. Nilianza kutumia hydraulic ya MATIC kama ilivyoandikwa kwenye stick yake,nilikuwa nainunua lita moja 50,000 pale Victoria Petrol Station, Kona ya JET(Nyerere Road) baadae nikampata mtu mmoja ameitumia gari hiyo muda mrefu akaniambia naweza kutumia Hydraulic inaitwa Atlantic, toka UAE. Inapatikana kwenye gallons fulani za bati. Bei yake ni between !20,000- 140,000 per 4 litres. Hiyo inakwenda km 9,000.Umefafanua vizuri sanaa. Naomba kujua hiyo engine oil inachukua kilometer ngapi kubadili ukiweza tupe na kilometer za transmission fluid.
shukrani.
Mimi ninatumia Extrail ya 2005, cc 1900. Nilianza kutumia hydraulic ya MATIC kama ilivyoandikwa kwenye stick yake,nilikuwa nainunua lita moja 50,000 pale Victoria Petrol Station, Kona ya JET(Nyerere Road) baadae nikampata mtu mmoja ameitumia gari hiyo muda mrefu akaniambia naweza kutumia Hydraulic inaitwa Atlantic, toka UAE. Inapatikana kwenye gallons fulani za bati. Bei yake ni between !20,000- 140,000 per 4 litres. Hiyo inakwenda km 9,000.
Engine oil natumua BP Synthetic last time nimeinunua kwa 60,000.00(five litres) pale Puma External. Ila inatumia lita nne hivyo unabakiza lita moja. Hiyo inatembea km 3,000 ndio unafanya service. Maana yake ni kwamba kila sevice tatu za engine ndio unafanya service ya gear box. (3:1). Siku unafanya full service angalau uwe na laki mbili mfukoni. Mambo mengine ni kawaida, mafuta inakula angalau 9-10 km/litre.
My view,it is reliable and built to last if you adhere to its requirements. Timely services and genuine spare parts to mention a few. There is a common notion among people that its spares are rare and expensive, what I really don't buy.The spare parts are abundant these days and the price is reasonable. If your budget ranges between 12-14M, I would advise you to go for that. You won't be disappointed.Sio ghali, cha mwisho na naomba niulize kizungu maana sijui kwa kiswahili niwekeje.
Is it reliable and built to last?
Ahsante kwa mara nyingine.