Nissan xtrail inatumia mafuta kiasi gani kwa uzoefu wako

Kwa ujumla hii Gari ni nzuri sana na huwa haziharibiki ovyo ovyo.

Niliwahi kuendesha moja kwa km 120 bila engine oil bila kujua lakini nikafika bila tatizo. Nilivyogundua nilitamani kulia
 
Umefafanua vizuri sanaa. Naomba kujua hiyo engine oil inachukua kilometer ngapi kubadili ukiweza tupe na kilometer za transmission fluid.

shukrani.
Engine oil mara nyingi ni km 3000 hiyo bp standard ..ila ukinunua pure synthentic kuna za mpaka km 10000
.ila kama una uwezo haishauriwi ukawie kumwaga oil chafu as unaua gari..pia ubadili oil filter.

Hiyo fluid matic J unaweza piga hata km 100000 kwa maana ingine gear box oil haitakiwi uchokonoe chokonoe.
 
Ni Post ya zamani lakini sababu na mimi natumia hiyo gari naomba nichangie,ninamiliki xtrail Zaidi ya mwaka wa tano sasa,nimewahi kumiliki Rav 4 na xtaril kwa wakati mmoja,niliuza Rav 4 nikaamua kubaki na Xtrail sababu ni kuwa moja Xtrail iko comfortable Zaidi na spacious kuliko Rav 4 lakini pili ilikuwa rahisi kuuza Rav 4 kwa sababu watu wanazipenda kwa kuwa ni rahisi kui maintain.
Nilinunua Xtrail ikiwa tayari imetumika hapa nchini na wachina waliokuwa wanajenga barabara so haikuwa vizuri sana ukilinganisha na kipindi unaagiza Japan,baada kama ya mwaka mmoja ,nilibadilisha Engine,baada ya gari kuanza kuchemsha,tatizo lililosababishwa na cylinder head na chanzo nafikiri ilikuwa na radiator.baada ya kubadlisha cylinderhead gasket mara mbili na kupiga pasi cylinder head niliamua kubadilisha engine.
Nikiri kuwa toka nibadilishe Engine na cylinderhead sikuwahi hata kuongeza maji Zaidi ya top up ya kawaida gari ikienda Garage,Nimesafiri na hiyo Gari karibu Tanzania nzima,kuanzia Kigoma,Kagera,Katavi ,Mbeya na haikuwahi kunisumbua.
Matatizo common ya xtrail kama yanavoripotiwa na mafundi mara nyingi ni Gearbox,Exhaust System pamoja na engine kama nilivoelezea hapo juu.
Sijawahi jutia kumiliki xtrail na ikitokea siku nikauza hii xtrail,hakina Gari ntakayoagiza tena itakuwa ni Xtrail.
 
Hiyo hydraulic fluid kumbe nimepigwa?....asee!

Kutuma tuma huku![emoji15] [emoji15]
 
Hiyo replacement ya spare kwa muda muafaka ndo wabongo wengi tunazingua!

Na mara nyingi ikianza kuzingua usipobadilisha at time ujue unaharibu kwingine! Labda upaki
 
Umemaliza chief[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Inaweza ikawa inatumia kama hii labda...[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Umefafanua vizuri sanaa. Naomba kujua hiyo engine oil inachukua kilometer ngapi kubadili ukiweza tupe na kilometer za transmission fluid.

shukrani.
Mimi ninatumia Extrail ya 2005, cc 1900. Nilianza kutumia hydraulic ya MATIC kama ilivyoandikwa kwenye stick yake,nilikuwa nainunua lita moja 50,000 pale Victoria Petrol Station, Kona ya JET(Nyerere Road) baadae nikampata mtu mmoja ameitumia gari hiyo muda mrefu akaniambia naweza kutumia Hydraulic inaitwa Atlantic, toka UAE. Inapatikana kwenye gallons fulani za bati. Bei yake ni between !20,000- 140,000 per 4 litres. Hiyo inakwenda km 9,000.
Engine oil natumua BP Synthetic last time nimeinunua kwa 60,000.00(five litres) pale Puma External. Ila inatumia lita nne hivyo unabakiza lita moja. Hiyo inatembea km 3,000 ndio unafanya service. Maana yake ni kwamba kila sevice tatu za engine ndio unafanya service ya gear box. (3:1). Siku unafanya full service angalau uwe na laki mbili mfukoni. Mambo mengine ni kawaida, mafuta inakula angalau 9-10 km/litre.
 

Sio ghali, cha mwisho na naomba niulize kizungu maana sijui kwa kiswahili niwekeje.

Is it reliable and built to last?

Ahsante kwa mara nyingine.
 
Sio ghali, cha mwisho na naomba niulize kizungu maana sijui kwa kiswahili niwekeje.

Is it reliable and built to last?

Ahsante kwa mara nyingine.
My view,it is reliable and built to last if you adhere to its requirements. Timely services and genuine spare parts to mention a few. There is a common notion among people that its spares are rare and expensive, what I really don't buy.The spare parts are abundant these days and the price is reasonable. If your budget ranges between 12-14M, I would advise you to go for that. You won't be disappointed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…