Mkuu hebu ni connect na fundi mzuri wa hizi gari kama yupo unaemfahamu
Mlioko Mwanza na maeneo ya jirani, leteni gari zenu MORAF GARAGE mtaa wa Rwegasore....
Ni garage ya kisasa yenye mafundi wabobezi hasa pamoja na vifaa vinavyotumia teknolojia ya kisasa....
Ukileta gari yako aina yoyote si tu NISSAN XTRAIL mnayoijadili hapa bali gari "make" yoyote iwe Toyota, Nissan, Hyundai, Mercedes Benz, Peugeot, Isuzu nk nk ikiwa na ubovu wowote kuanzia jumba (body) hadi Engine utapewa masaa ya kusubiri kati ya 6 - 24 kisha unakuja kuchukua gari yako ikiwa kama mpyaaaaa...!!
Ufundi wetu unaanza na kuichunguza gari yako kwa kuiingiza katika chumba maalumu cha kuchunguzia ambacho ni COMPUTERIZED. Stage hii tunaiita "diagnosis stage"
Baada ya hapo tutatambua ubovu wote wa gari yako na mfumo wetu wa computer utakukokotolea na gharama kuanzia vifaa (spares) vinavyopaswa kuwa replaced mfano fuel pump, fan belts, engine oil seals, ball joints nk nk
Baada ya hapo utaulizwa kama unakubaliana na gharama au la. Ukisema, it's okay, basi gari inaingia kwenye chumba cha matibabu (operation room) kutibiwa...
Ukisema, gharama hiyo ni kubwa utalazimika kulipia tu gharama za uchunguzi (diagnosis costs) tu ambazo zina - range kati ya 100,000 - 300,000/= na baada ya hapo unaweza kupeleka gari yako popote kutengenezewa...
Kama utakubaliana na gharama za matengenezo, basi tutakupa masaa kati ya 6 - 24 kusubiri kabla hatujakuita kuja kuchukua gari yako...
Malipo (maintenance fee) hufanyika baada ya matengenezo kukamilika. Hatuchukui fedha advance yoyote kabla ya matengenezo kukamilika...!!
Karibuni sana.
Na muhimu ni kujua ni kuwa HAKUNA GARI YOYOTE AMBAYO NI PASUA KICHWA bali gari aina yoyote kama haipati REGULAR PRESCRIBED ROUTINE MAINTAINANCE na kwa kumtumia fundi mbobezi, basi lazima tu itakupasua kichwa....
Ufundi wa Magari ama vyombo vya moto vyote ni TAALUMA kama zilivyo TAALUMA zingine zote kama udaktari, ualimu, ufundi ujenzi wa nyumba nk nk....
Huwezi kumpeleka mgonjwa wako kutibiwa na daktari mbabaishaji ama kajanja ambaye hakupata training na kuwa certified otherwise utakuwa umempeleka mgonjwa wako kwenda kuandikiwa hati ya kifo...!!
Ndivyo ilivyo hata na kwenye TAALUMA ya motor vehicle mechanics. Ukipeleka gari yako kwa "maafundi nyundo", unahatarisha uhai na efficiency and smooth running ya gari yako.....
Hatuwapigi dongo mafundi wa mitaani, laa. Wapo mafundi wazuri sana, tatizo ni kuwa hawana vifaa vya kazi....
Nawatakia kila la kheri