Queen Latifah
Member
- Oct 20, 2019
- 29
- 61
Haaaaaaaaa!!!Mmoja baada ya mwingine
Haya nimerudi
Wew mwezi uliopita uliingiza kiasi cha tsh 637,500/=
Huyu jamaa mchawiMzee I'm still waiting. Hujanitajia bado napokea kiasi gani
Duniani kuna mambo!! Hizo posts mwenyewe ndo naziona kwako
OkJifunze kuwa watanzania ni adui wa ukweli hivo hamna atakaekubali
Nikimuambia teja humu una kipato cha 5milioni utaskia anajibu "Ewaaaa umenipatia kabisa kama ninavyopata kama size yangu kutoka Tigo"
One man?Huyu jamaa mchawi
Id mojaHuyu jamaa mchawi
Pole, naona Hutaki kukosolewaMara anatoa kwenye post za mtu mara ID moja
Basi sasa nimeacha ,,kama yesu tu aliponya watu akatembea juu ya maji na miujiza kibao akafufuka lakini bado hawakukuamini mimi ni nani mpaka mniamini
Mkuu unatumia njia gani kujua hayo yawatuWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kizazi hiki kinapotea kwa kukosa imani
Nabii out
Hapo juu kuna post nimempa mtihani anitabirie mimi sina shaka saizi anapekua pekua kwenye profile yangu kujua aje na jibu gani.uzuri humu hatuandiki kuhusu vipato vyetu nipo namsubiri.Pole, naona Hutaki kukosolewa
Sawa nabii outing njemaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kizazi hiki kinapotea kwa kukosa imani
Nabii out
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kizazi hiki kinapotea kwa kukosa imani
Nabii out
UnaznguaNabii I'm out