Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
NasubiriUtabiri wako niachie mimi, ngoja niingie chimbo nitakuja na mrejesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NasubiriUtabiri wako niachie mimi, ngoja niingie chimbo nitakuja na mrejesho.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwani nimekufata pm ongea hapa Kama nivoandika mkuuNawewe nikitaje huku au nije PM Maana ni aibu
Haaa haaaaa profile yako mbona imefungwa?
Na mimi naisubiri hiyo ya kifo aachane nayo nataka ya mshahara/kipato na tarehe,Mwambie ukimaliza chuo itakuwaje
Samahani kiongozi naomba uniambie nikimaliza chuo itakuwaje?Binadamu huwa wana tendency ya kutafuta explanation kwa vitu wasivyovijua ili wa feel comfortable
Wanasayansi wanajaribu kuelezea ulimwengu uliumbwaje ili wafeel comfortable hawataki kukaa na kukubali kuna extra ordinary supernatural power ina operate
Sasa wewe tafuta explanations zozote unazotaka za jinsi navyojua vipato vya watu cha msingi mimi sidanganyi na kazi yangu nakamilisha
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwani nimekufata pm ongea hapa Kama nivoandika mkuu
Huwezi kuwa na kipato kinachoeleweka kama una muda wa, kureply kila comments, we jamaa hata ajira huna, bado unaishi kwa wazazi.Mimi ni nabii lakini situmii supernatual powers zozote bali natumia tools kama logical deductions from comparative observations, akili ya kuzaliawa na commom sense.
Straight to the title uki-reply uzi huu mimi nitajua kipato chako kwa mwezi.
Tukianza na hapa,
Kwa kuwa tu upo unasoma huu uzi, basi wewe kipato chako hakifiki million 2 kwakuwa usingepata muda wa kufatilia hizi nyuzi na kuchati JF, ungekuwa bize na mabiashara yako.
Social network ambayo ungetumia ni WhatsApp Business na Instagram kwa ajili ya matangazo.
Therefore nishajua haufikishi million 2.
Reply hapa nikutajie exact ni kiasi gani.
Really bro!!!Bado Sijaona hata mtu anaefika 1.5 M hapa
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hupati kazi utasota mataani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi sio citiezb
Mtemi mpambalioto,
Kwa haraka haraka wewe ni mfanyakazi na utakuwa unafanya zile 9 to 5 yaani masaa 9 siku tano za wiki
Saa 2 mpaka sa 11, upo job.
Na utakuwa unakaa mbali na kazini kama Town mpaka Kimara au Mbezi hivi hivyo inabidi kila siku sa11 upo macho na kupigania mwendokasi.
Mshahara wa kumhangaisha hivyo mtu hauwezi kuwa mkubwa kwani ungelipwa milion 2 either ungenunua gari au ungetafuta nyumba karibu na town au ungeacha kazi kabisa na kupiga biashara.
Hivyo, nadiriki kusema haufikishi 1M lakini pia hauna kipato kidogo sana unacho kipato kile cha kuendelea kukufanya upigane na daladala kila siku hivyo itakuwa laki 5-8 hivi.
Dogo acha wenge,huyu ni mjanja mjanja tu kama walivyo wengine anachofanya anaangalia post zako na michango yako unayoi-post humu anajifanya ametabiri but hakuna kitu kama hiko kama alivyomfanyia mdau hapo juu post #3 hilo jibu lake limetokana na post hii hapa chini.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna watu wana ela nyingi ila wabahili.
We, kipato chako cha kati, range 500000 hadi 800000, ingawa una mipango mingi mikubwa hadi inapekekea uwaze project za kuongeza kipato ila sio mtendaji, you take it easy, huna matumizi makubwa yani upo simple, labda ndio maana unachukulia simple project unazowaza, ni mpole sio mtu wa kujichanganya sana.Nasubiri