kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Wadau naipongeza sana Serikali ya Awamu ya 5 Kwa sera yake ya ufufuaji VIWANDA.Furaha yangu itakuwa pale Kiwanda cha nyama na nguo vitakapo fufuliwa.(TANGANYIKA Packers na Urafiki)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app