Nitaamini kweli viwanda vinafufuliwa kikifufuliwa kiwanda cha Tanganyika Packers

Moproco, magunia, celamic,ngozi,bora,carnivals, Moro ilikuwa mji wa viwanda kweli kweli.
 
Wadau naipongeza sana Serikali ya Awamu ya 5 Kwa sera yake ya ufufuaji VIWANDA.Furaha yangu itakuwa pale Kiwanda cha nyama na nguo vitakapo fufuliwa.(TANGANYIKA Packers na Urafiki)

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji3]tupo pamoja lkn urafiki sio kiwanda cha nguo mkuu[emoji3]
T,Packers hapo nasaport saaaana kwasbb mm nakumbuka miaka ya themanini hapo ktk akili ya foolish age[emoji3]naikumbuka saaana tulikua tukinunua nyama ya katka kopo Beef tin Food
Tunaifungua kama inaufunguo
Vile ile kopo aiseeee ilikua pyua beef bana made frm Tanganyika packers,
Pia na samaki Za kopo (SADINES)
navomjua magu na anauzoefu serikalini miaka 20 walai nauhakika hivi viwqnda vitaamka
Na SERIKALI ITAHAMIA DODOMA
Mark my Words
 
Hata general tyre kingefufuliwa serikali ingepiga ela ya kufa mtu

hata bibi alikuwa binti.
 
Maharage yenyewe tu nanga inapaa sembuse nyama, kwanza kiwanda cha nyama cha nini, mnacha kuongelea mambo makubwa mnaongelea nyama? Soko lenyewe liko wapi, au mnaonA ufahari moshi ukiwa unatoka kwenye bomba la moshi, kwanza wengine hatuli Nyama,tunataka barabara, maji, umeme, mahospitali, lishe mashuleni mwana watoto wengi wanafeli sababu ya lishe hakuna nyumbani hola shuleni hola, we unazani shuleni wangekuwa wanagawa pilau kufeli kungekuwepo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana ile beef ilikuwa onakorofishwa na onions tu na mchicha pembeni those were the days
 
Very sad...your akili at his best....sooo kugawa chakula mashuleni ndio ufaulu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunatofautiana hali mkuu. Kila mtu analia kile anachokitaka kwake, kama wewe hauli nyama, wenzako pia hawali maharage wala dagaa wana vidonda vya tumbo.
 
Lishe funyanya akili ifanye kazi vizuri, mwenye njaa hata kushika peni hawezi, kipindi cha utawala wa baba wa taifa hawa viongozi walikuwa wanakula shule, madaftari bure, vitabu bure,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah we bwana hunielewi, kiwanda cha nyama hakinA mchango mkubwa saana ndo maana serikali haikuanzia huko, imeanza kwenye elimu bure, then barabara, then reli, au mkuu kwa kuwa wewe unapenda nyama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…