Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Tupo duniani ili kuishi na si kupata mafunzo; we ukiona kenge yeyote hayuko upande wako, piga chini na usonge mbele na wale wanaotambua umuhimu wako.
 
Mbona ungewaza hili wakati unamuoa ungekua mbali sana?! Hivi, ni kwa nini kwa wenzetu waliosogea kimaisha,hizi biashara za uroho wa mali hawanaga? Utakuta mke na mme wanakaa kwa wazazi,na huchukuliwa kama watoto nyumbani,hakuna cha ajabu. Vitu vyote, huwekana sawa.
Huku,wakija tu, majungu yanaanza sijui uchawi,mali, nini na nini.

Ila kuzaliwana na umasikini kichwani na kwenyewe shida. Mtu unakaa unasubiri ndugu yako akate upepo ndo upate. Kweli? Mkewe na watoto watajua wenyewe,akifa nyumba na mali ndugu wagawane. Bulshit
 
Hata watoto wako wanaweza wasiwe upande wako

Naamini Ndugu wa kweli wakati wote kama hukuingia chakike wakati wa uchaguzi ni MKE/MUME wako.

Watoto wanaolewa wanabadilishwa
Watoto wanaoa wanabadilishwa

ila MKE/MUME kama ulicheza karata zako vizuri ukachagua aliekuchagua mkachaguana Huyo ndio Ndugu pekee ulienae hapa duniani.

Mpende/Muheshimu Mkeo/Mumeo

Lakini pia usisahau kutimiza wajibu wako kwa watoto wako ila usiwe na mategemeo makubwa toka kwao.

Pole Mkuu.
 
H
Pole chief, sometimes ndugu ni viazi sana.. labda mama yako mzazi tu ndo anaweza kua mwema kwako, lakini ndugu wa kawaida mpaka baba yako mzazi anaweza kukupiga tu kwa hali yoyote ile
Hakika kuna madingi wanatuombea njaa mbak unashangaa huyu ni mshua kweli?
 
Ndivyo inavyokuwa, sasa jaribu kufumba macho uchukulie ndo umekufya, ingekuwaje ?

Weka kila kitu sawa japo kuugua siyo kufya. Andika kwa mwanasheria.

Niliwahi kupitia hiyo hali 😭😭

Hayo mahela yote hayo au ndo uliingia hilo chama la wana ?
 


Too late, hii busara huwa inapatikana when it is too late
 

Pole sana mkuu Mungu akuponye ndugu lawama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…