Nitabaki na mke wangu na wanangu, kumbe ndugu ni kenge tu

Aisee wakiwa na pakugemea basii wanajiachiaaa , ni lawama tu Kila siku
 
Eti kwa nini Simba hata kwenye mbuzi cup huwa wanaingiza full mkoko?
 
Penye ukweli uongo hujitenga!
 
Hii ofisi yako ya UWAKALA iko wapi?
Mtaji wako bado ni mdogo sanaaaa...!!!

#YNWA
 
Life is full of experience bro. Wenzio tumefanya Zaid ya hayo na bado hawajawah kuhisi sadaka yetu. La muhimu unatakiwa kujua huwez kuwa huruma kwa watu zaid ya Mungu. So sasa fanya kwa kiasi na Mungu atakusaidia.
 
Duu,pole. Nimeumia kama vile ni mimi nimefanyiwa.
 
Masikini si wakuonea huruma, na usimsaidie.
 
Mkuu ndy unajuwa leo kwamba ndugu ni mkia wa mbuzi,,?
Hauna faida yeyote ..

Ndugu wa kwl ni watoto na mkeo.
 
Tumepigwa[emoji28][emoji28] ila watu kwanini mnapenda attention kwa uongo uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…