Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
H pfnktfg s,mmMuislamu ww ushindweee.
Ishuke kabisa nafasi yake ichukuliwe na TZ chini ya jeipiiemKwa kifupi wanajf nimekuwa na tabia ya kuichukia sana marekani hadi natamani iporomoke kabisa hiyo dola.
Sababu za kuichukia ninazo nyingi mno, Ila kuna mfuasi wangu anaeichukia USA aje hapa amwage mistari ya nguvu.
Hapana sitakubali, Mauritius panatoshaIla ukipewa ofa ya kuishi USA si utaichangamkia hata kwa kutembelea meno.
Hapana mkuu, ubabe wao wa kila Kona ni chanzo cha vurugu nyingi dunianiVipi ulitoswa Visa?!
Wa kuuporomosha ni nani?Kwa kifupi wanaJF nimekuwa na tabia ya kuichukia sana Marekani hadi natamani iporomoke kabisa hiyo dola.
Sababu za kuichukia ninazo nyingi mno, Ila kuna mfuasi wangu anaeichukia USA aje hapa amwage mistari ya nguvu.