Nitaenda Chato kuwashitaki Polepole, Kabudi na Bashiru; nitapitia Butiama kuwashitaki Butiku, Warioba na Prof. Shivji

Nitaenda Chato kuwashitaki Polepole, Kabudi na Bashiru; nitapitia Butiama kuwashitaki Butiku, Warioba na Prof. Shivji

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Natambua hii vita ni ya kiuchumi na vita ya kiuchumi kupiganwa paspo kushirikisha marehemu walio kwisha tangulia mbele ya haki hatutoshindwa.

Wakati wenzangu wanaandamana kwenda ikulu Mimi nipo njiani naelekeA Chato Kwa mzira nkende mwenzangu nampalekea mashitaka, ninao kwenda kuwashitaki ni wafatao

Mh Balozi Polepole naenda kukushitaki umekubali bandari iuzwe wakati wewe na wenzako mlijivisha gwanda la uzalendo kumbe mlikuwa mnatulaghai. Laz sivyo jiuzulu ubalozi wa Cuba uje tulinde bandari yetu.

Nakushitaki Prof uliyotolewa majalalani, Wewe nawe unemungana nao kupitisha azimio la kuuzwa au kukodishwa kwa bandari yetu.

Nakushitaki Wewe Bashiru kakulu, uliyeshiriki kusaini azimio la kuuzwa ziwa Victoria.

Nikitoka hapo ntaenda Butiama kuzungumza na mizimu ya Kizanaki mbele ya kaburi la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ntawashitaki Hawa sinior chawa wa mama yaani.

Mzee Butiku walah ntaeleza ukimya wako Ili hali mwalimu alikufunza uzalendo.

Ntamshitaki na Warioba Jaji Huyu na Waziri mkuu mstaafu. Kwanini upo kimnya Ili hali bandari inauzwa?

Baada ya hapo, ntajiandaa kuanda petion ya kuingia serikali ya CCM madarakani.
 
Na samaki wote wavuvi marufuku kuvua yaani haitakiwi waonekane kabisa[emoji23]
 
Ila wangepewa wabrigiji au wakule magaribi, tusingesikia hizi ngonjeraa uchwaraaa.
Watu Wana mashaka na vitu vingi ndugu. Na Hata kama ni kuwapa ndo tuwape waarabu? Hawa si wajinga wenzetu kama sisi? Kuna teknolojia Gani ya maana Toka Kwa waarabu Hadi tujikabidhishe kwao?
 
Natambua hii vita ni ya kiuchumi na vita ya kiuchumi kupiganwa paspo kushirikisha mArehemu walio kwisha tangulia mbele ya haki hatutoshindwa.

Wakati wenzangu wanaandamana kwenda ikulu Mimi nipo njiani naelekeA Chato Kwa mzira nkende mwenzangu nampalekea mashitaka,ninao kwenda kuwashitaki Kwa mzirankende ni wafatao

Mh Balozi Polepole naenda kukushitaki umekubali bandari iuzwe wakati weww na wenzako mlijivisha gwanda la uzalendo kumbe mlikuwa mnatulaghai. Laz sivyo jiuzuru ubalozi wa Cuba uje tulinde bandari yetu.

Nakushitaki Prof uliyotolewa majalalani na mzirankende mwenzangu Wewe nawe unemungana nao kupitisha azimio la kuuzwa au kukodishwa Kwa bandari yetu.

Nakushitaki Wewe bashiru kakulu, mhaya wa ajabu uliyeshiriki kusaini azimio la kuuzwa ziwa Victoria.

Nikitoka hapo ntaenda Butihama kuzungumza na mizimu ya kizanaki mbele ya kaburia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Ntawashitaki Hawa sinior chawa wa mama yaani.

Mzee Butiku walah ntaeleza ukimnya wako Ili hali mwalimu alikufunza uzarendo.

Ntamshitaki na Warioba Jaji Huyu na Waziri mkuu mstaafu.kwa Nini upo kimnya Ili hali bandari inauzwa?

Baada ya hapo, ntajiandaa kuanda petion ya kuingia serikali ya ccm madarakani.
Mizimu ya kiafrika huwa hawana likizo
 
Watu Wana mashaka na vitu vingi ndugu. Na Hata kama ni kuwapa ndo tuwape waarabu? Hawa si wajinga wenzetu kama sisi? Kuna teknolojia Gani ya maana Toka Kwa waarabu Hadi tujikabidhishe kwao?
Wivu utakumalizaa, usema hawana teknologia? Umebahatika kufika au kusimuliwa Dubai wewe. Ebu tulizeni kerere wasije kuondokaa. Unadhani uwekezaji wa mwalabu ni sasawa na hao wakoloni wako?? Ebu tulizeni kerere zenu uchwara na kujifanya mnajua kumbe mnashinikizwa na mihemko ya hovyooo.
 
Ila wangepewa wabrigiji au wakule magaribi, tusingesikia hizi ngonjeraa uchwaraaa.
Kwa sasa ungesikia..umesahau enzi za kina richmond na kusainiwa mikataba hotelini kule uingereza ndio kulitaka kuitoa ccm madarakani 2015..?na hapo bahati yao hakukuwa na mwamko na mitandao kama sasa wakati wanasaini ile mikataba.

Hatuna shida kushirikiana na wageni..tatizo mikataba ya kimangungo.

Tanesco iliumia kinoma kwa netgroup solutions.

ATC ilikuja kumalizwa kabisa na makaburu baada ya kuchukuliwa.

Tuliwapa migodi kina Barrick, walipoona wanamaliza mahandaki wakamtupia Accacia..JPM angewaambia msilete ujinga. Ila walishapiga kinoma.

Gesi ya Mtwara tunaisikia tu..tunaambiwa hatuna hata 30%. Yote ni ya mwekezaji.
 
Watu Wana mashaka na vitu vingi ndugu. Na Hata kama ni kuwapa ndo tuwape waarabu? Hawa si wajinga wenzetu kama sisi? Kuna teknolojia Gani ya maana Toka Kwa waarabu Hadi tujikabidhishe kwao?
Hao hao DP Waarabu wamepewa kuendesha mabandari mpaka huko Marekani na Ulaya !! Jamaa wapo vizuri !! Labda tuseme mkataba uangaliwe vizuri !
 
Kwa sasa ungesikia..umesahau enzi za kina richmond na kusainiwa mikataba hotelini kule uingereza ndio kulitaka kuitoa ccm madarakani 2015..?na hapo bahati yao hakukuwa na mwamko na mitandao kama sasa wakati wanasaini ile mikataba.

Hatuna shida kushirikiana na wageni..tatizo mikataba ya kimangungo.

Tanesco iliumia kinoma kwa netgroup solutions.

ATC ilikuja kumalizwa kabisa na makaburu baada ya kuchukuliwa.

Tuliwapa migodi kina Barrick, walipoona wanamaliza mahandaki wakamtupia Accacia..JPM angewaambia msilete ujinga. Ila walishapiga kinoma.

Gesi ya Mtwara tunaisikia tu..tunaambiwa hatuna hata 30%. Yote ni ya mwekezaji.
Unaweza kudhitisha wapi wameandikiana mkatabaa, kama sio mihemko yenu uchwaraaa. Makubaliano yameletwa bungeni, yamedadafuliwa, Bado hata nyinyi wenyeweeee maoni yenu yamechukuliwaa, asasi mbalimbali zimepewa uhuru wakuongea na kupendwkeza walitakalo, maoni yenu yanapokelewaa, Sasa niambieni huo umangungo uko wapiiii. Andiko liko wazi adi wewe umelisoma na kutoa mawazooo, Sasa huo umangungo uko wapiiii?? Toeni mapendekezo ila sio hizo kejerii zenu za ajabuuu. Mambo yako wazi kabisaaa Sasa Kuna usiri upiii hapooo
 
Mh Balozi Polepole naenda kukushitaki umekubali bandari iuzwe wakati wewe na wenzako mlijivisha gwanda la uzalendo kumbe mlikuwa mnatulaghai. Laz sivyo jiuzulu
Diko tam 😋, mtu akiwa chakulani usimbugudhi!! Hakuna mmbabe mbele ya tumbo lake!!
 
Uwaambie mama anawachamba mno wakosoaji wake..kifupi nchi nzima ipo uzaramoni.
 
Wivu utakumalizaa, usema hawana teknologia? Umebahatika kufika au kusimuliwa Dubai wewe. Ebu tulizeni kerere wasije kuondokaa. Unadhani uwekezaji wa mwalabu ni sasawa na hao wakoloni wako?? Ebu tulizeni kerere zenu uchwara na kujifanya mnajua kumbe mnashinikizwa na mihemko ya hovyooo.
Kama hauwezi kuandika Kisawahili fasaha, ambacho ndiyo Lugha yako ya kwanza (nime-assume wewe ni Mtanzania kwa kuzaliwa); inawezekanaje ukawa na uelewa sahihi kuhusu teknolojia, vita vya kiuchumi na mambo kama hayo!!? Unaleta stori za vijiwe nongwa! 🚮
 
Kama hauwezi kuandika Kisawahili fasaha, ambacho ndiyo Lugha yako ya kwanza (nime-assume wewe ni Mtanzania kwa kuzaliwa); inawezekanaje ukawa na uelewa sahihi kuhusu teknolojia, vita vya kiuchumi na mambo kama hayo!!? Unaleta stori za vijiwe nongwa! 🚮
Huna lolotee, kikubwa umeelewa. Lakini acheniiii kufukuza wawekezaji wetuuu.
 
Back
Top Bottom