Unaweza kudhitisha wapi wameandikiana mkatabaa, kama sio mihemko yenu uchwaraaa. Makubaliano yameletwa bungeni, yamedadafuliwa, Bado hata nyinyi wenyeweeee maoni yenu yamechukuliwaa, asasi mbalimbali zimepewa uhuru wakuongea na kupendwkeza walitakalo, maoni yenu yanapokelewaa, Sasa niambieni huo umangungo uko wapiiii. Andiko liko wazi adi wewe umelisoma na kutoa mawazooo, Sasa huo umangungo uko wapiiii?? Toeni mapendekezo ila sio hizo kejerii zenu za ajabuuu. Mambo yako wazi kabisaaa Sasa Kuna usiri upiii hapooo