Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mungu Baba mwenye enzi yote Muumba wa mbingu na nchi asante baba kwa kutuvusha salama sisi CHADEMA kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.
Mara tu baada ya ushindi wa Lissu nikajiwa na wazo la kurudi Kilingeni nikafanye kafara lakini nikakumbuka kumbe nilishatoka huko πͺπΏππΏ
Bila kusema uongo mimi ni mmojawapo wa wana CHADEMA walioumizwa vibaya sana na yale yote mabaya yaliyokuwa yakiendelea ndani ya chama chetu.
Nikiri wazi kama ni kusali kuiombea CHADEMA basi kipindi hiki nilisali
. Mambo ya kuwatusi viongozi wakuu
. Mambo ya kuwadhihaki
. Mambo ya kuoneshana chuki za waziwazi kati ya makada
. Mambo ya kuzushiwa kila aina ya baya
. Post potofu zilizojaa uzushi na upuuzi wa kila aina hapa JF.. Na mengine mengi ni vitu ambavyo nilivibeba kwa maumivu makubwa mno
Kuna baadhi ya taarifa nilikuwa nazipata kutoka mbali jinsi mambo yanavyoendelea kuelekea uchaguzi wa kihistoria..zilikuwa zinatisha sana
LAKINI Mungu wetu ni Mungu wa wote na matendo yake si matendo ya binadamu.. Ametufuta machozi
Chama kilikuwa kinatengenezewa zengwe la mpasuko mkubwa sana.. In fact wangefanikiwa ndio ingekuwa mwisho wa CHADEMAπππ
Sijui tungeenda wapi huko Mungu wangu.. Lakini kwa upendo wake mkuu Mungu wetu ametuvusha salama.. Hili nalo limepita.. Hakuna tufani nyingine itaweza kuitikisa CHADEMA kwa miaka mingi ijayoπͺπΏππΏ
Leo kwa mara ya kwanza ndani ya siku 30 nimehisi njaa na kula chakula amabcho naona kina ladhaβ€ππΏ
Nitaenda kutoa sadaka ya shukrani.
Mara tu baada ya ushindi wa Lissu nikajiwa na wazo la kurudi Kilingeni nikafanye kafara lakini nikakumbuka kumbe nilishatoka huko πͺπΏππΏ
Bila kusema uongo mimi ni mmojawapo wa wana CHADEMA walioumizwa vibaya sana na yale yote mabaya yaliyokuwa yakiendelea ndani ya chama chetu.
Nikiri wazi kama ni kusali kuiombea CHADEMA basi kipindi hiki nilisali
. Mambo ya kuwatusi viongozi wakuu
. Mambo ya kuwadhihaki
. Mambo ya kuoneshana chuki za waziwazi kati ya makada
. Mambo ya kuzushiwa kila aina ya baya
. Post potofu zilizojaa uzushi na upuuzi wa kila aina hapa JF.. Na mengine mengi ni vitu ambavyo nilivibeba kwa maumivu makubwa mno
Kuna baadhi ya taarifa nilikuwa nazipata kutoka mbali jinsi mambo yanavyoendelea kuelekea uchaguzi wa kihistoria..zilikuwa zinatisha sana
LAKINI Mungu wetu ni Mungu wa wote na matendo yake si matendo ya binadamu.. Ametufuta machozi
Chama kilikuwa kinatengenezewa zengwe la mpasuko mkubwa sana.. In fact wangefanikiwa ndio ingekuwa mwisho wa CHADEMAπππ
Sijui tungeenda wapi huko Mungu wangu.. Lakini kwa upendo wake mkuu Mungu wetu ametuvusha salama.. Hili nalo limepita.. Hakuna tufani nyingine itaweza kuitikisa CHADEMA kwa miaka mingi ijayoπͺπΏππΏ
Leo kwa mara ya kwanza ndani ya siku 30 nimehisi njaa na kula chakula amabcho naona kina ladhaβ€ππΏ
Nitaenda kutoa sadaka ya shukrani.