PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
MUNGU ni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee sawa Mkuu. basi njoo Kwa msuguri tule Kitimoto kwanzaHuo ni msaada sasa sio sadaka😀 .. Sadaka hutolewa madhabahuni na ni tendo la kiimani
Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana, Mshana JrMungu Baba mwenye enzi yote Muumba wa mbingu na nchi asante baba kwa kutuvusha salama sisi CHADEMA kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.
Mara tu baada ya ushindi wa Lissu nikajiwa na wazo la kurudi Kilingeni nikafanye kafara lakini nikakumbuka kumbe nilishatoka huko 💪🏿🙏🏿
Bila kusema uongo mimi ni mmojawapo wa wana CHADEMA walioumizwa vibaya sana na yale yote mabaya yaliyokuwa yakiendelea ndani ya chama chetu.
Nikiri wazi kama ni kusali kuiombea CHADEMA basi kipindi hiki nilisali
. Mambo ya kuwatusi viongozi wakuu
. Mambo ya kuwadhihaki
. Mambo ya kuoneshana chuki za waziwazi kati ya makada
. Mambo ya kuzushiwa kila aina ya baya
. Post potofu zilizojaa uzushi na upuuzi wa kila aina hapa JF.. Na mengine mengi ni vitu ambavyo nilivibeba kwa maumivu makubwa mno
Kuna baadhi ya taarifa nilikuwa nazipata kutoka mbali jinsi mambo yanavyoendelea kuelekea uchaguzi wa kihistoria..zilikuwa zinatisha sana
LAKINI Mungu wetu ni Mungu wa wote na matendo yake si matendo ya binadamu.. Ametufuta machozi
Chama kilikuwa kinatengenezewa zengwe la mpasuko mkubwa sana.. In fact wangefanikiwa ndio ingekuwa mwisho wa CHADEMA😭😭😭
Sijui tungeenda wapi huko Mungu wangu.. Lakini kwa upendo wake mkuu Mungu wetu ametuvusha salama.. Hili nalo limepita.. Hakuna tufani nyingine itaweza kuitikisa CHADEMA kwa miaka mingi ijayo💪🏿🙏🏿
Leo kwa mara ya kwanza ndani ya siku 30 nimehisi njaa na kula chakula amabcho naona kina ladha❤🙏🏿
Nitaenda kutoa sadaka ya shukrani.
View attachment 3210103
Jumapili hii!???KKKT Kibaha
Sawa mkuu.Nipo Mbezi stand hapa nina ishu kidogo
Aaamen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿Barikiwa sana Mtumishi wa Bwana, Mshana Jr
Haukuwa peke yako mkuu. Ushindi wa lisu umeponya mioyo ya watu wengi vijana kwa wazee wenye mapenzi mema na hili taifa. Utakapotoa sadaka yako kumbuka kumuombea lisu kwa kazi kubwa ya kuliongoza taifa kuing'oa ccm madarakani na naamini inawezekana. Lisu awe karhbu na viongozi wa dini wafanya biashara na wananchi. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki TAL.Mungu Baba mwenye enzi yote Muumba wa mbingu na nchi asante baba kwa kutuvusha salama sisi CHADEMA kwenye huu uchaguzi wa kihistoria.
Mara tu baada ya ushindi wa Lissu nikajiwa na wazo la kurudi Kilingeni nikafanye kafara lakini nikakumbuka kumbe nilishatoka huko 💪🏿🙏🏿
Bila kusema uongo mimi ni mmojawapo wa wana CHADEMA walioumizwa vibaya sana na yale yote mabaya yaliyokuwa yakiendelea ndani ya chama chetu.
Nikiri wazi kama ni kusali kuiombea CHADEMA basi kipindi hiki nilisali
. Mambo ya kuwatusi viongozi wakuu
. Mambo ya kuwadhihaki
. Mambo ya kuoneshana chuki za waziwazi kati ya makada
. Mambo ya kuzushiwa kila aina ya baya
. Post potofu zilizojaa uzushi na upuuzi wa kila aina hapa JF.. Na mengine mengi ni vitu ambavyo nilivibeba kwa maumivu makubwa mno
Kuna baadhi ya taarifa nilikuwa nazipata kutoka mbali jinsi mambo yanavyoendelea kuelekea uchaguzi wa kihistoria..zilikuwa zinatisha sana
LAKINI Mungu wetu ni Mungu wa wote na matendo yake si matendo ya binadamu.. Ametufuta machozi
Chama kilikuwa kinatengenezewa zengwe la mpasuko mkubwa sana.. In fact wangefanikiwa ndio ingekuwa mwisho wa CHADEMA😭😭😭
Sijui tungeenda wapi huko Mungu wangu.. Lakini kwa upendo wake mkuu Mungu wetu ametuvusha salama.. Hili nalo limepita.. Hakuna tufani nyingine itaweza kuitikisa CHADEMA kwa miaka mingi ijayo💪🏿🙏🏿
Leo kwa mara ya kwanza ndani ya siku 30 nimehisi njaa na kula chakula amabcho naona kina ladha❤🙏🏿
Nitaenda kutoa sadaka ya shukrani.
View attachment 3210103
Utabiri ule wa Sheikh Yahaya....Haukuwa peke yako mkuu. Ushindi wa lisu umeponya mioyo ya watu wengi vijana kwa wazee wenye mapenzi mema na hili taifa. Utakapotoa sadaka yako kumbuka kumuombea lisu kwa kazi kubwa ya kuliongoza taifa kuing'oa ccm madarakani na naamini inawezekana. Lisu awe karhbu na viongozi wa dini wafanya biashara na wananchi. Mungu ibariki Tanzania. Mungu mbariki TAL.