Pre GE2025 Nitaenda kwa Mbowe kumshauri aachane na mambo ya uenyekiti safari hii. Bado tunaipenda CHADEMA tusingependa kuvuka mwaka vibaya

Pre GE2025 Nitaenda kwa Mbowe kumshauri aachane na mambo ya uenyekiti safari hii. Bado tunaipenda CHADEMA tusingependa kuvuka mwaka vibaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya Chadema...
UPO?
 
Hakuna mtu yoyote CDM; narudia tena mtu yeyote ambaye anaweza kusimama na Mbowe kwa sanduku la kura CDM akatoboa.

Fikisheni ujumbe, aibu itafuata tena mbaya ya kumfanya huyo mtu kupata sababu ya kukihama chama.
 
Kama wenyeviti wa mikoa nchi nzima wameenda kumuomba mbowe agombee basi bado wanamhitaji wenye chama Chao. Ngoja tuone
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Sina uhakika km atakuelewa
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Andiko lako limenyooka mkuu. Heko sana.
 
Kwani akigombea kuna shida gani? Nyinyi si hamumchagui tu mukamchagua huyo tundu si ndio uchaguzi unakuwa hivyo? Mbona sasa mumeng'ang'ania asigombee?
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
..ulisema lolote Mzee Kibao alipotekwa?
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
 
..ukitaka kutambua kati ya sauti ya Mungu au shetani, ni shetani huongea kwa vitisho..sauti ya Mungu ni ya upole na kushawishi!
Nadhani ni rahisi sasa kupambanua sauti za hawa wanaosema juu ya Mbowe na Lisu!
 
Mbowe + umwenyekiti = no chadema.
Mbowe -umwenyekiti = chadema
Hili lipo wazi sana. Wanachama machawa kama akina Yeriko, Boniyai, Mungai na wengine wanaotaka Mbowe aendelee kuongoza wanampotosha sana. Ni vema Mbowe akastaafu kwa heshima kwa kuwaachia wengine kiti cha mwenyekiti. Akigombea itaonekana hakufanya kazi ya kujenga succession plan ya chama, hana anayemwamini kwamba anaweza kukalia nafasi yake pasi na shida yoyote.
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
shida yako hujiamini.
uchaguzi wa mashindano ndo demokrasia yenyewe, sasa kama hakuna ushindani mnataka lisu apite bila kupingwa?
acheni wapigakura waamue
 
Back
Top Bottom