Pre GE2025 Nitaenda kwa Mbowe kumshauri aachane na mambo ya uenyekiti safari hii. Bado tunaipenda CHADEMA tusingependa kuvuka mwaka vibaya

Pre GE2025 Nitaenda kwa Mbowe kumshauri aachane na mambo ya uenyekiti safari hii. Bado tunaipenda CHADEMA tusingependa kuvuka mwaka vibaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
chaggadema
 
Hakuna mtu yoyote CDM; narudia tena mtu yeyote ambaye anaweza kusimama na Mbowe kwa sanduku la kura CDM akatoboa.
Hii ni nadharia unayo takiwa kuifanyia majaribio ili ujue usahihi wake ulivyo. Mhimize Mbowe akachukue fomu.

Baada ya hapo tuta kutafuta urudi hapa kutupa mrejesho wa matokeo halisi. Sasa hivi unatuchosha tu na bla bla zisizo kuwa na msingi wowote.
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Wee wee, umuachishe ULAJI ! Jamani jamani !
 
Kuna Wapumbavu ambao sio Wana CHADEMA (hawana Kadi), sio washabiki Bali ni wanafiki, wazandiki ambao wamepata platform ya kuandika at least nao waonekane wanajua kuandika.

Juzi Kati hata uchaguzi wa Serikali za mitaa hamkushiriki, Mbowe aliandamana yeye na mwanae na baadhi ya wana CHADEMA but Leo kila kenge inaijua CHADEMA, imekua mshauri...... pumbavu Kabisa
 
Hakuna mtu yoyote CDM; narudia tena mtu yeyote ambaye anaweza kusimama na Mbowe kwa sanduku la kura CDM akatoboa.

Fikisheni ujumbe, aibu itafuata tena mbaya ya kumfanya huyo mtu kupata sababu ya kukihama chama.
Mbowe anaweza kushinda kwa njia ya kura maana ana hela za kuhonga wajumbe wapiga kura, ila hana uwezo tena wa kuteka nyoyo za wafuasi wa cdm. Lipumba na CUF ni mfano halisi wa hiki nikisemacho. Mbowe akubali tu kuwa wakati ukuta.
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.📌🔨
 
Kama wenyeviti wa mikoa nchi nzima wameenda kumuomba mbowe agombee basi bado wanamhitaji wenye chama Chao. Ngoja tuone
Hawajaenda kumuomba, bali yeye amewaita na kuwalipa ili ionekane wanamuomba agombee tena.
 
Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Naunga mkono hoja, mimi nitaandika tuu humu asome.
P
 
Nitasema wazi kwamba siwezi kuamini kwamba Tundu Lissu atashinda uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema. Kwa maoni yangu, nafasi yake inaonekana kuwa na changamoto nyingi, na kuna maswali mengi kuhusu uwezo wake wa kuweza kuongoza chama hiki kwa mafanikio. Chadema ni chama chenye historia ndefu na kina wanachama wengi wenye maono tofauti, na ni muhimu kwa kiongozi kuweza kuunganishwa na kila mmoja wao.

Ikiwa Lissu atafanikiwa katika uchaguzi huu, nitahitaji kufikiria upya msimamo wangu kisiasa.

Nimekuwa nikihusishwa na Chadema kwa muda mrefu, lakini kama kiongozi atakayechaguliwa hawezi kuleta mabadiliko chanya, nitakuwa na sababu ya kuhama na kujiunga na CCM.

Ninatazamia kuona mabadiliko na nguvu mpya katika uongozi wa Chadema, lakini kama hali itabaki vile vile, nitajikuta katika nafasi ya kutafuta chama kingine ambacho kinaweza kufanikisha malengo yangu ya kisiasa. Hivyo basi, nasubiri kwa hamu kuona matokeo ya uchaguzi huu na athari zake kwa mustakabali wa siasa nchini.
 
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA.

Mimi nikiri wazi kuwa nimehuzunishwa sana na mambo ambayo baadhi ya wafuasi wa Mbowe ambao kiukweli siyo wafuasi wake bali wafuasi wa matumbo yao jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa chama mwaka huu.

Nimehuzunishwa sana na jinsi wanavyouchukulia uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa kwa kipindi hiki nyeti sana na aina ya siasa ambazo wenzetu CCM wamezifanya kwa miaka sita sasa.

Mbowe amekuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 sasa, amekiongoza chama vizuri katika nyakati zake na kweli tumekuwa tukimuunga mkono. Mbowe kwa sasa anahitaji mbadala hilo halikwepeki.

Kwanini mbadala? Kwa sababu ya aina ya siasa za sasa na aina ya watu aliowajenga ndani ya chama. Amejenga watu wenye uthubutu ambao kweli wanaweza kutuvusha kama Chama kitachanga karata zake vizuri.

Kwanini Mbowe asigombee awamu hii?

Ni kwasababu ya hisia ambazo tumezizoea kuwa Mbowe akigombea basi wapinzani wake ama mpinzani wake lazima wadidimizwe/adidimizwe ndani ya chama.

Mbowe akijiweka kando kisha akasimamia mchakato vizuri basi atapatikana kiongozi mzuri wa nyakati hizi na chama kitainuka tena kwa kasi ya ajabu.

Mbowe alijichanganya kwenye maridhiano hilo ni jambo lingine, wanachama wanatekwa mpaka imekuwa kwaida sasa. Kwa kweli tunahitaji mfumo mpya.

Nitaenda kwa Mbowe kumsihi chonde chonde aiangalie kesho ya CHADEMA, ajenge heshima yake kubwa kwa nyakati hizi. Ama kwa hakika nitamueleza kuwa this time kama ataamua kugombea basi amekiua chama.

Nitamuomba katu asisikilize machawa wachache wanaobweka ambao kwa kipindi hiki wameonekana dhahiri nia zao.

Nitamwambia kuwa hatusemi Mbowe must go bali tunasema kuwa Mbowe ni wakati wake sasa wa kutwaa heshima yake ndani ya chama ambayo haitafutika vizazi na vizazi.
Mnataka kukizamisha chama nyie,Kawashtukia 😄
Mada zimekua nyingi sana humu kila siku Mbowe,mbowe,mnalala mnaamka ni Mbowe tu

Nyie mkijitoa wanachama wapo wengine watajiunga nae
Kuna Watanzania zaidi ya Milioni 60 wapo
 
Hebu wewe unaetaka kwenda kumshauri weka namba yako ya simu hapa upigiwe simu upewe ushauri pia weka picha yako tukuone
Usidharau ushauri huu
 
..ulisema lolote Mzee Kibao alipotekwa?
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
Tukifanya mabadiliko sauti itaanzia ndani
 
Kwani akigombea wapigakura wakaamua kuna shida gani?.Ili demokrasia ionekane imekua lazima kuwe na ushindani sawa ili wapigakura waamue kilichobora kwao.ilimradi katiba iwe inaruhusu kulingana na sifa husika.Haya mengine mnayaleta kwania mbaya.
 
Back
Top Bottom