GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hiyo hali imeshakuwa kero sasa!
Mara nyingi, nikishakula tu, najisikia uchovu kiasi cha kutamani kulala, hata kama ni Mchana. Haijalishi kama nimekula chakula kidogo tu, nitajisikia tu kulala.
Kuna jinsi ya kuiepuka hiyo changamoto?
Asanteni!
Mara nyingi, nikishakula tu, najisikia uchovu kiasi cha kutamani kulala, hata kama ni Mchana. Haijalishi kama nimekula chakula kidogo tu, nitajisikia tu kulala.
Kuna jinsi ya kuiepuka hiyo changamoto?
Asanteni!