Heshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.
Kwanza ungeeleeza wakati umeamua kulimbikiza hela hizo ulikuwa na mawazo ya kuzifanyia nini, na kitu gani kimekufanya usitekeleze hilo, nadhani itakuwa sehemu nzuri ya kuanza kukusahuriHeshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.
nimeajiriwa last month, today nimequit. kuajiriwa kugumu asikwambie mtu. nimechukua salary yangu naenda kulima vitunguu moshi.
The Boss jamaa anakuhitaji huku umshauri.....Heshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.
tengeneza charcoal briquettes uza rejareja na jumla. Mashine ni tshs 10m
mkuu naomba unielemishe hapo kwa red, ni nini hicho?
Salaty ya mwezi mmoja inaweza kuanzisha kilimo cha vitunguu? Aisee hebu nipe idea manake nadhani nawaza makubwa mno ndo maana nakwama
Heshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.