Heshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa
nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao nimeulimbikiza kwa muda
niliofanya kazi.
nakaribisha mchango wenu wa mawazo.
the boss upo, nakukubali sana kaka kwenye hizi anga, please assist.
Kirumi, kimara.