Nitafanyaje ili niweze kupata tenda ya kukusanya ushuru wa maliwato za stendi dsm

Nitafanyaje ili niweze kupata tenda ya kukusanya ushuru wa maliwato za stendi dsm

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza naombeni mwenye ufahamu ni njia gani zinazotakiwa kufuatwa ili manispaa waweze kunipa tenda ya kukusanya ushuru wa mojawapo ya maliwato zake,mfano ile stendi mpya inayojengwa pale mawasiliano.hii biashara inalipa sana sema kuipata ndio shida.
Kuna ukuritimba sana katika tenda zao so mwenye mbinu tafadhali aitoe isipokuwa mbinu ya kuhonga maana hiyo siiwezi na hata ningekuwa na hela ya kuhonga ni bora ningefanya kazi nyingine mbadala.

Asanteni.

ww mwnyw umisha sema kuna ukirikimba,kuhonga ndo hvyo usha sema huwezi sasa ukifata procedures wnye hongo watakushinda,sa unadhan u2mie njia gn? Bdo ukiwa ke ujipendekeze au Me uvae sketi bdo itakuwa ni hongo na labda uwe mkurugenzi au gombea urais wa JMT uchukue kwa urahisi
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza naombeni mwenye ufahamu ni njia gani zinazotakiwa kufuatwa ili manispaa waweze kunipa tenda ya kukusanya ushuru wa mojawapo ya maliwato zake,mfano ile stendi mpya inayojengwa pale mawasiliano.hii biashara inalipa sana sema kuipata ndio shida.
Kuna ukuritimba sana katika tenda zao so mwenye mbinu tafadhali aitoe isipokuwa mbinu ya kuhonga maana hiyo siiwezi na hata ningekuwa na hela ya kuhonga ni bora ningefanya kazi nyingine mbadala.

Asanteni.

ww mwnyw umisha sema kuna ukirikimba,kuhonga ndo hvyo usha sema huwezi sasa ukifata procedures wnye hongo watakushinda,sa unadhan u2mie njia gn? Bdo ukiwa ke ujipendekeze au Me uvae sketi bdo itakuwa ni hongo na labda uwe mkurugenzi au gombea urais wa JMT uchukue kwa urahisi/kawaroge washndani wko/sali hadi utoke jasho la ulimi mungu asikie maombi yco
 
Mkuu Ukiona mtu anaongea hivyo ujue mazingira yashatokea mara nyingi.Na wakati mwingine unakuta hela unayotakiwa kuhonga ni kubwa kuliko unayotarajia kuipata.

Hiyo ni shauri yako, kama unaona haitakulipa achana nayo hakuna wa kukulazimisha!
 
Back
Top Bottom