Nitafunga na kuwaombea wenzetu waliooa wanawake wafuatao

Nitafunga na kuwaombea wenzetu waliooa wanawake wafuatao

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;

1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.

2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.

3. Wasanii yaani waimba muziki na filamu.

4. Waimbaji wa nyimbo za injili.

5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
 
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio lazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
Fafanua kwa nini
 
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.
2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.
3. Wasanii. Yaani waimba muziki na filamu.
4. Waimbaji wa nyimbo za injili.
5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
Single mothers
 
Kuna wale wanawake wanaotembea na timu hasa za Simba na yanga popote ziendapo,wanaliwa mnooo,wanaume zao waombee maombi ya mfungo
[emoji3] hao ni diehard ultra fans hamna kingine .kama yule dada mweupe mnene mvaa vipensi wa simba acha mawazo hayo
 
Back
Top Bottom