Nitafunga na kuwaombea wenzetu waliooa wanawake wafuatao

Nitafunga na kuwaombea wenzetu waliooa wanawake wafuatao

Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.
2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.
3. Wasanii. Yaani waimba muziki na filamu.
4. Waimbaji wa nyimbo za injili.
5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
Hili kundi namba tano ni hatari,mwanamke wa mtu anaongozana na mwanaume mwingine wa duka jirani eti wanafata mzigo Korea kwa pamoja,au Kampala,au Nairobi....sijui Dubai

Dunia ya uaminifu kwa sasa ni ziro
 
Hili kundi namba tano ni hatari,mwanamke wa mtu anaongozana na mwanaume mwingine wa duka jirani eti wanafata mzigo Korea kwa pamoja,au Kampala,au Nairobi....sijui Dunai

Dunia ya uaminifu kwa sasa ni ziro
Juzi hapa kuna ndugu yangu wa kike kasafiri na kijana wake wa dukani kwenda mkoani kufanya marketing ya biashara yake. Ni mara kadhaa kafanya hivyo. Mume wa huyu ndugu tumweke kwenye maombi.
 
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.
2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.
3. Wasanii. Yaani waimba muziki na filamu.
4. Waimbaji wa nyimbo za injili.
5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
 

Attachments

  • AFF0AF05-2D48-4FE6-B701-5AF23473C695.jpeg
    AFF0AF05-2D48-4FE6-B701-5AF23473C695.jpeg
    94.3 KB · Views: 3
Usiwasahau na waliooa feminists uchwara a.k.a masupa wimeni. Cha moto wanakiona wallahi!
🤣 HAKUNA CHA SUPA WIMENI, WALA MALKIA WA NGUVU.
ZOTE ZILE NJAA ZA UMAARUFU NA PESA.

SIFA YA KWANZA YA SUPA WIMENI UWE UMISHINDWA KWENYE NDOA AU MAHUSIANO.!
SIFA YA PILI LAZIMA UWE UNALALWA NA WAUME ZA WENZIO KWA SBB WEWE UMESHINDWA KUTUNZA WAKO!
SASA HII SI TAKATAKA HII
 
Kuna wale wanawake wanaotembea na timu hasa za Simba na yanga popote ziendapo,wanaliwa mnooo,wanaume zao waombee maombi ya mfungo
Refer tukio la Mama J.

Kwa wanaokumbuka huyu alionekana akifurahia match ya Wanayanga pale B.W Stadium masaa mawili mbele aka-post short clip video anamung'unya kipande cha nyama ngumu cha shabiki mwenzake ambaye pale uwanjani alikuwa amekaa mbele yake means walifahamiana pale pale uwanjani.
 
Back
Top Bottom