TunaonewaVitisho havipendezi kwa mrembo .msamehe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TunaonewaVitisho havipendezi kwa mrembo .msamehe tu
Ila Kwa mjomba hakuna urithiHata mjomba nae ni mama
Mtema kuni unamjua wewe ulisoma nae ?Cha mtema kuni
Hii imekaaje hii wazanaki wakikusikiaIla Kwa mjomba hakuna urithi
Khaaa!!! anazingua sanaUvisisiemu huyo tangu lini wakawa na akili
Lakini hawezi kukunyonyesha[emoji38][emoji38]Hata mjomba nae ni mama
[emoji23][emoji23][emoji23]Umewaachaje mashabiki kindaki ndaki wa simba na yanga
Mashabiki wa mpira na vyama lugha yao moja
Hili kundi namba tano ni hatari,mwanamke wa mtu anaongozana na mwanaume mwingine wa duka jirani eti wanafata mzigo Korea kwa pamoja,au Kampala,au Nairobi....sijui DubaiTayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.
2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.
3. Wasanii. Yaani waimba muziki na filamu.
4. Waimbaji wa nyimbo za injili.
5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
Juzi hapa kuna ndugu yangu wa kike kasafiri na kijana wake wa dukani kwenda mkoani kufanya marketing ya biashara yake. Ni mara kadhaa kafanya hivyo. Mume wa huyu ndugu tumweke kwenye maombi.Hili kundi namba tano ni hatari,mwanamke wa mtu anaongozana na mwanaume mwingine wa duka jirani eti wanafata mzigo Korea kwa pamoja,au Kampala,au Nairobi....sijui Dunai
Dunia ya uaminifu kwa sasa ni ziro
Haihusiki kwenye huu uziusisahau Kuombea Udini na DP world vilivyoshikana chupi na tako
NakutafutaObviously iko hivyo
Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo;
1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake.
2. Wanawake wote wenye ukaribu sana na viongozi wa kiroho kwa maana ya wachungaji, mitume na manabii. Yaani wale wanaosema fulani ni baba yangu wa kiroho.
3. Wasanii. Yaani waimba muziki na filamu.
4. Waimbaji wa nyimbo za injili.
5. Wafanyabiashara ambao hulazimika kuwa na safari za mara kwa mara.
Tulikaa dawati mojaMtema kuni unamjua wewe ulisoma nae ?
404: Page Not Found
🤣 HAKUNA CHA SUPA WIMENI, WALA MALKIA WA NGUVU.Usiwasahau na waliooa feminists uchwara a.k.a masupa wimeni. Cha moto wanakiona wallahi!
Hii ID siiamini tena 😅Nakutafuta
Mama JKuna wale wanawake wanaotembea na timu hasa za Simba na yanga popote ziendapo,wanaliwa mnooo,wanaume zao waombee maombi ya mfungo
MahabaWewe ni mwanaume mbona unajiita Mamasamia??
Hapana sio kweli anajishushia hadhiMahaba
Refer tukio la Mama J.Kuna wale wanawake wanaotembea na timu hasa za Simba na yanga popote ziendapo,wanaliwa mnooo,wanaume zao waombee maombi ya mfungo