Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kwanza uwanja wa amani una vigezo vyote vya kuchezea mechi za kimataifa na kitaifa, pia Zanzibar ni sehemu ya United Republic of Tanzania.
Tatu huko nyumba Simba ilipokuwa ikiweka kambi Zanzibar hakuna alieweza kupata sare, watu wetu wa Zanzibar wanajua sana yale mambo yetu ndio maana jamaa zetu wanatuwin kwa sababu makamu wao anasaidiwa sana na wale wazee wetu.
Ndio maana yeye na Mwenyekiti wake ni damu damu, sisi Zenji tuna mashabiki wengi vile, hivyo kwa sababu hizo ninauomba uongozi wa Simba ambao siupendi na ninauchukia sana ingawa sina jinsi, wahamishie mechi zetu kule zenji ili heshima irudi.
Huku Bongo kumeshanuka sana, wachezaji ambao tulikuwa na imani nao wamefungwa miguu na hawawezi kuleta maajabu tena msimbazi.
Tatu huko nyumba Simba ilipokuwa ikiweka kambi Zanzibar hakuna alieweza kupata sare, watu wetu wa Zanzibar wanajua sana yale mambo yetu ndio maana jamaa zetu wanatuwin kwa sababu makamu wao anasaidiwa sana na wale wazee wetu.
Ndio maana yeye na Mwenyekiti wake ni damu damu, sisi Zenji tuna mashabiki wengi vile, hivyo kwa sababu hizo ninauomba uongozi wa Simba ambao siupendi na ninauchukia sana ingawa sina jinsi, wahamishie mechi zetu kule zenji ili heshima irudi.
Huku Bongo kumeshanuka sana, wachezaji ambao tulikuwa na imani nao wamefungwa miguu na hawawezi kuleta maajabu tena msimbazi.