MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Sababu kubwa ni kwamba Chelsea ni Wanafiki mno kwani kama walikuwa na Uwezo wa Kucheza mpira walioucheza jana dhidi ya Chama langu pendwa la Liverpool kwanini hawakucheza mpira ule ule walipocheza na Washamba Manchester United na wakaishia Kufungwa Goli zile 4?
Akhsanteni Liverpool FC.
Akhsanteni Liverpool FC.