GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hebu Watanzania ifike muda sasa tubadilike na tuacheni kuwa Wapuuzi wa Kiwango cha Kimataifa cha Kujifanya tunajua kila Sababu za Vifo vinavyowatokea Watanzania wenzetu hasa wenye Umaarufu mkubwa kwani kufanya hivyo ni kutaka Kuyaingilia Majukumu ya Mwenyezi Mungu na Israeli wake ambayo Sisi Wanadamu hatuna na kamwe hatutoweza kuwa nayo.
Yaani hata Mwili wa ' Marehemu ' bado haujawekwa vizuri au haujapoa katika Friji za Mochwari za Abu Dhabi tayari kuna Mtanzania Mmoja ' Mwendawazimu ' aliye Marekani alishaanza kuleta Upuuzi wake wa ' Speculations ' za Kifo hiki na bahati mbaya mno kuwa ' Wendawazimu ' wenzake ambao nao humuamini kwa kila Kitu nao wakamuamini na Kuuendeleza Upuuzi huo huo Mitandaoni na hata katika Vijiwe vyetu vya Majungu.
Hivi kuna Binadamu ambaye ameingia Mkataba wa Kutokufa na Mwenyezi Mungu? Na kama tunajua fika kuwa hata Kiimani Kufa ni Sherehe ya Mwanadamu na Wajibu wake ni kwanini pale Mtu ' Maarufu ' tu akitangulia mbele za haki tunaanza ' Kuzusha ' na Kutengeneza Hisia na Uadui usio na Tija wala Mantiki kwa Familia za hao Wapendwa Marehemu zetu?
Kama kweli mnajifanya mnajua sana sababu Kuu za Vifo vya Watu ' Maarufu ' nchini Tanzania hebu leo basi naomba mniambie Mimi GENTAMYCINE nani alisababisha Vifo vya Yesu Kristo na Mtume Mohammed na kwamba nani alaumiwe hasa kwa Vifo vyao hivyo kwani walikuwa wakati bado Sisi Watenda Dhambi ( nami nikiwemo ) tukiwa bado tunawahitaji sana na mno tu.
Nakiri kuwa katika Familia nyingi za Kitanzania ' Misuguano ' huwa ipo tena sana tu ila ' Misuguano ' ya Wanafamilia isitupelekee Sisi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wengine ambao hata hatuhusiki kabisa na hizo Familia kuanza Kutengeneza ' Speculations ' za Kipuuzi huku tukijua kabisa kuwa Wana Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki bado wanamuombeleza Mpendwa Wao.
Kuna Watu nilikuwa nawaheshimu lakini taratibu sasa naanza ' Kuwadharau ' na naanza Kuona ' Laana ' kubwa ikianza Kuwanyemelea hata kama hawaishi hapa Tanzania na wanaishi kwa Donald Trump na Watoto wao waliozaa na Wazungu wasiojulikana. Yaani kuna Watu wamekaa Kimajungu Majungu tu Zari akifanya Jambo watamsema, Diamond akifanya Jambo watamsema ili mradi tu Watu ambao ana Chuki nao kwa ' Interests ' zake mwenyewe wakikengeuka au wakitokewa na Jambo basi hapo hapo anapata nafasi ya Kuwaharibia na Kuwavunjia Heshima.
Mbona na sababu iliyopelekea Kifo cha Baba yake Mzazi huwa haisemi ila sababu za Vifo vya Watu wengine huwa anashadadia tu mara kwa mara? GENTAMYCINE kama Mkristo na Mtu mzuri tu mwenye Hofu ya Mungu natambua ya kwamba Kifo cha Marehemu ni cha Mapenzi yake Mwenyezi Mungu na hakina cha sijui Mkono wa Jackline wala Hussein au mambo mengine na kikubwa tu ni kwamba kwa sasa tunakiwa Kuungana na Familia na Watanzania wengine Kumlilia ' Marehemu ' kisha tuupokee Mwili wake, tumuage na tukamuhifadhi katika Nyumba yake ya Milele huku tukiyaenzi yale yote mema hasa yaliyo katika ile ' Falsafa ' yake ya I CAN, I MUST, I WILL.
Naamini ' Message Sent and Delivered ' kwa itakayomgusa / itakayowagusa.
Nawasilisha.
Yaani hata Mwili wa ' Marehemu ' bado haujawekwa vizuri au haujapoa katika Friji za Mochwari za Abu Dhabi tayari kuna Mtanzania Mmoja ' Mwendawazimu ' aliye Marekani alishaanza kuleta Upuuzi wake wa ' Speculations ' za Kifo hiki na bahati mbaya mno kuwa ' Wendawazimu ' wenzake ambao nao humuamini kwa kila Kitu nao wakamuamini na Kuuendeleza Upuuzi huo huo Mitandaoni na hata katika Vijiwe vyetu vya Majungu.
Hivi kuna Binadamu ambaye ameingia Mkataba wa Kutokufa na Mwenyezi Mungu? Na kama tunajua fika kuwa hata Kiimani Kufa ni Sherehe ya Mwanadamu na Wajibu wake ni kwanini pale Mtu ' Maarufu ' tu akitangulia mbele za haki tunaanza ' Kuzusha ' na Kutengeneza Hisia na Uadui usio na Tija wala Mantiki kwa Familia za hao Wapendwa Marehemu zetu?
Kama kweli mnajifanya mnajua sana sababu Kuu za Vifo vya Watu ' Maarufu ' nchini Tanzania hebu leo basi naomba mniambie Mimi GENTAMYCINE nani alisababisha Vifo vya Yesu Kristo na Mtume Mohammed na kwamba nani alaumiwe hasa kwa Vifo vyao hivyo kwani walikuwa wakati bado Sisi Watenda Dhambi ( nami nikiwemo ) tukiwa bado tunawahitaji sana na mno tu.
Nakiri kuwa katika Familia nyingi za Kitanzania ' Misuguano ' huwa ipo tena sana tu ila ' Misuguano ' ya Wanafamilia isitupelekee Sisi ' Mapopoma / Wapumbavu ' wengine ambao hata hatuhusiki kabisa na hizo Familia kuanza Kutengeneza ' Speculations ' za Kipuuzi huku tukijua kabisa kuwa Wana Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki bado wanamuombeleza Mpendwa Wao.
Kuna Watu nilikuwa nawaheshimu lakini taratibu sasa naanza ' Kuwadharau ' na naanza Kuona ' Laana ' kubwa ikianza Kuwanyemelea hata kama hawaishi hapa Tanzania na wanaishi kwa Donald Trump na Watoto wao waliozaa na Wazungu wasiojulikana. Yaani kuna Watu wamekaa Kimajungu Majungu tu Zari akifanya Jambo watamsema, Diamond akifanya Jambo watamsema ili mradi tu Watu ambao ana Chuki nao kwa ' Interests ' zake mwenyewe wakikengeuka au wakitokewa na Jambo basi hapo hapo anapata nafasi ya Kuwaharibia na Kuwavunjia Heshima.
Mbona na sababu iliyopelekea Kifo cha Baba yake Mzazi huwa haisemi ila sababu za Vifo vya Watu wengine huwa anashadadia tu mara kwa mara? GENTAMYCINE kama Mkristo na Mtu mzuri tu mwenye Hofu ya Mungu natambua ya kwamba Kifo cha Marehemu ni cha Mapenzi yake Mwenyezi Mungu na hakina cha sijui Mkono wa Jackline wala Hussein au mambo mengine na kikubwa tu ni kwamba kwa sasa tunakiwa Kuungana na Familia na Watanzania wengine Kumlilia ' Marehemu ' kisha tuupokee Mwili wake, tumuage na tukamuhifadhi katika Nyumba yake ya Milele huku tukiyaenzi yale yote mema hasa yaliyo katika ile ' Falsafa ' yake ya I CAN, I MUST, I WILL.
Naamini ' Message Sent and Delivered ' kwa itakayomgusa / itakayowagusa.
Nawasilisha.