Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Tatizo ninachokihitaji hakipo kwenye orodha yenuKimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ninachokihitaji hakipo kwenye orodha yenuKimya
Nahitaji bei ya:
***Used..
1.Canon Eos R camera body
2. Canon 24 -70 mm is lens
3. Canon 70 - 200mm is ii Lens
4. Sony A7 iii camera body
5. Panasonic GH5 or GH4 camera body
digxam.com
Unahitajini boss nikusaidie kutafutaTatizo ninachokihitaji hakipo kwenye orodha yenu
Iphone 12 pro (GB 128) Original ni sh ngapi ? ukiniagizia maana za hapa bongo naona kama ni feki kila sehemu
Lini?Kama upo Dar nakupa order yangu
Elfu 90Kioo cha hp pavillion 14 inch....
nimekutumia mkuu umeona?Iphone 12 pro (GB 128) Original ni sh ngapi ? ukiniagizia maana za hapa bongo naona kama ni feki kila sehemu
Generator ya kuwasha aice tano ya diesel bei ganivipi?
KVA ngapi unataka?Generator ya kuwasha aice tano ya diesel bei gani
Ndio nini?KVA ngapi unataka?
Matafute fundi wa umeme akupigie hesabuNdio nini?
Asante karibu sana.Gea box iko vizuri sana nashukuru mkuu
OkMatafute fundi wa umeme akupigie hesabu
Huawei P 30 na P 40 bei gani, mpya na used Maibu ya bei yakitoka unaweza kufatilia mwenyeweHuawei P 30 na P 40 bei gani, mpya na used