Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Muonekano huu huu??
JPEG_20220405_083432_-670678633.jpg
 
kwamba comments zangu huzioni au? bro kama hazipatikani si unasema tu
 
Ukijibu hapa hapa inakuongezea wateja hujui tu,watu hawapndelei hyo ma website
Tatizo sio kujibu au ukingia kwenyewe website tatizo ni kuhudumiwa yeye hana uweze wakujua bei za kilakitu karikoo China SouthAfrica Japan ningumu ukipost kwenye website utajibiwa na wauzaji wakiwa sehemu mbalimbali records zinabaki kwakijili ya siku za usoni nadhani yuko sawa ndio maana achelewa kujibu
 
Tatizo sio kujibu au ukingia kwenyewe website tatizo ni kuhudumiwa yeye hana uweze wakujua bei za kilakitu karikoo China SouthAfrica Japan ningumu ukipost kwenye website utajibiwa na wauzaji wakiwa sehemu mbalimbali records zinabaki kwakijili ya siku za usoni nadhani yuko sawa ndio maana achelewa kujibu
Ni kweli naomba watu kuweni wavumilivu kupitia kwenye uzii huu kila mtu atapa bidhaa anazozitafuta
 
Habari wana mzengo!

Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.

  1. kuweka order yako au kutembelea website tetu bonyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan
  2. kujisajili bonyeza hapa
  3. login bonyeza hapa
  4. Piga simu/Whatsapp 0712 708245
Napata kwa bei gani boss hii kitu ?
Ps4 pro
2 controlers
Storage : 1 tb
Free cd : Fifa 21 Hdmi&Power cable
 
Back
Top Bottom